K Kafuta Senior Member Joined Oct 15, 2010 Posts 119 Reaction score 29 Apr 20, 2014 #1 Wana Jf naomba kufahamu kwa nini wajawazito wengi kwa sasa wakienda kujifungua wanaishia kufanyiwa upasuaji?cjui kama ntakua nimeweka swali sawasawa..lakin naamin ntakua nimeeleweka..
Wana Jf naomba kufahamu kwa nini wajawazito wengi kwa sasa wakienda kujifungua wanaishia kufanyiwa upasuaji?cjui kama ntakua nimeweka swali sawasawa..lakin naamin ntakua nimeeleweka..
chakii JF-Expert Member Joined Sep 15, 2013 Posts 20,834 Reaction score 26,217 Apr 20, 2014 #2 wanaofanyiwa upasuaji ni wale ambao njia ya kawaida ya kupitishia mtoto inakuwa ndogo wakati wa kuzaa,. Labda uulize kwa nini au nini kinapelekea njia kuwa ndogo!!
wanaofanyiwa upasuaji ni wale ambao njia ya kawaida ya kupitishia mtoto inakuwa ndogo wakati wa kuzaa,. Labda uulize kwa nini au nini kinapelekea njia kuwa ndogo!!
Majigo JF-Expert Member Joined Feb 23, 2012 Posts 5,519 Reaction score 1,828 Apr 20, 2014 #3 watoto wa siku hizi wanakuwa wanene toka wakiwa tumboni, pia wamama wengi wanahofia nyuchi zao kutanuka
watoto wa siku hizi wanakuwa wanene toka wakiwa tumboni, pia wamama wengi wanahofia nyuchi zao kutanuka