Time Traveller
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 314
- 303
Kukopesha...... Kosa kubwa sana[/QUOTE
Kweli kabisa kwa hela ya biashara, tena kwa mtu wa karibu ambaye mtaoneana huruma kupelekana mbeya ya sheria
Habari ya muda huu wanajamvi.
Siku zote tumekuwa tukisikia story za mafanikio katika biashara Fulani bila kusikia changamoto au ugumu wa biashara hiyo hali inayopelekea wengi kushindwa.
Tutiririke makosa tuliyofanya hadi biashara kufa ili wajifunze wengi wanaoanza.
Biashara za Akina mama hizo Bila kukopesha haziendi kabisaKukopesha...... Kosa kubwa sana