KndNo1
JF-Expert Member
- Oct 26, 2021
- 627
- 2,049
Sababu kubwa ni uzito wa engine na matumizi ya gari..
1. Kupata nguvu ya kusukuma gari(hp) kwenye engine ya petrol ni rahisi kuliko diesel.. Kwahiyo utakuwa na engine block ndogo kwenye petrol kulinganisha na diesel.. Engine block ndogo itakuwa nyepesi hivyo kupunguza uzito wa gari..kwenye gari ndogo ni uzito ni ishu.. Uzito unaathiri performance ya gari.. Hii pia ni tip ya kupunguza ulaji wa mafuta.. Usiwe na mizigo mingi kwenye gari kama sio lazima.. Ukiangalia race cars huwa wanatoa vitu vingi kupunguza uzito kwenye gari mpaka redio..!
2. Gari ndogo ni saloon cars.. Matumizi yake yanahitaji Horsepower zaidi kuliko Torque.. Petrol engines zipo vizuri kwenye kutoa horsepower wakati Diesel engines zimejikita zaidi kwenye torque..!
Mfano hizi engines mbili za Landcruiser 200(Viete) zina displacement, cc almost sawa
1UR FE (petrol) ina 347 hp na 460 Nm
1VD FT (diesel) ina 268 hp na 650 Nm..!
1. Kupata nguvu ya kusukuma gari(hp) kwenye engine ya petrol ni rahisi kuliko diesel.. Kwahiyo utakuwa na engine block ndogo kwenye petrol kulinganisha na diesel.. Engine block ndogo itakuwa nyepesi hivyo kupunguza uzito wa gari..kwenye gari ndogo ni uzito ni ishu.. Uzito unaathiri performance ya gari.. Hii pia ni tip ya kupunguza ulaji wa mafuta.. Usiwe na mizigo mingi kwenye gari kama sio lazima.. Ukiangalia race cars huwa wanatoa vitu vingi kupunguza uzito kwenye gari mpaka redio..!
2. Gari ndogo ni saloon cars.. Matumizi yake yanahitaji Horsepower zaidi kuliko Torque.. Petrol engines zipo vizuri kwenye kutoa horsepower wakati Diesel engines zimejikita zaidi kwenye torque..!
Mfano hizi engines mbili za Landcruiser 200(Viete) zina displacement, cc almost sawa
1UR FE (petrol) ina 347 hp na 460 Nm
1VD FT (diesel) ina 268 hp na 650 Nm..!