HSiyo kweli...
Kuna msemo unaosema mswahili akipata matako hulia mbwata...
Hao unaowataja wanaenda na bodyguards mpaka kwenye maBank, chooni, kwenye halfa ambazo hata hazihitaji bodyguards, huo ni ushamba...
Hela si zao kwani ni zako wewe unateseka Nini na nioneshe video msanii analindwa chooni kama hauna ushaidi Bora ukae kimya kuliko kudanganya
Cc: mahondaw
ONTARIO punguza hasiraHaya kakojoe ukalale.
Bajeti ya harmonize imetengewa sh ngapi?
sio kanye west??Kanye ulale
Ali kiba hana tatizo. Tatizo lipo kwa wanaomzunguka na kumpamba kwa mfano watu wa Clouds.Na ndomana hataka afike mbali kibamia yuko mwisho anategemeya bifu na domo ..jama Ana gubu kama shetani
Jama naye kajiachia sana hajuw kwenda na TimeAli kiba hana tatizo. Tatizo lipo kwa wanaomzunguka na kumpamba kwa mfano watu wa Clouds.
Ameridhika na hali yakeJama naye kajiachia sana hajuw kwenda na Time
La saba DWakati fulani kwenye utoaji wa tuzo za Kilimanjaro awards, Ali Kiba hakupata tuzo hata moja. Baadae wanakuja kumuhoji , jamaa anakwambia "Mimi sitaki tuzo"