Chimo,'walikufa na Ukimwi na bado mpaka leo gonjwa hilo linateketeza wafanyakazi kibao pale BOT Na hazina hata Balal kaondoka nao .Lyumba na Dr IR Ni waathirika isitoshe kuhusu Gilman nawajuwa mpaka ndugu zake wa Balewa st. Mwanza wenyewe wanakiri aliumia na HIV Ndio maana hata mke wake pia alifuatia muda mfupi baada ya kifo chake huko Ngara. Ukweli pale BOT na hazina Panatisha ugonjwa bado ungali unawatesa
Kibona hakufa kwa Ukimwi- kifo chake kilikuwa cha mambo ya ukoo na familia. Kilitoka kwenye familia yao hilo kwa watu wa Ileje wanalielewa sana. Siwezi kulielezea vizuri watu wa Mby wanaweza kusema vizuri. Ni kama vile kulikuwa na kuteketeza familia yao maana wengi walikufa mpaka pale walipoenda kufunga huo mnyororo. Kama kulikuwa na umafia lakini haukuwa chanzo cha kifo.
Tuwaache marehemu wapumzike, si vizuri kuwasema marehemu vibaya hasa ukizingatia walilitumikia taifa kwa moyo na uadilifu. Pia wana familia zao ambapo wanaposoma haya wanapatwa na uchungu- just imagine angekuwa ni baba yako anasemwa hiyo...............tuwe na heshima kwa marehemu waliotutumikia kwa uaminifu
Chimo,'
Nakuomba uache uongo. Mke wa marehemu Rutihinda ameolewa na anadunda mzima kabisa mjini Nairobi.
FMES,- Sawa sawa mkuu mimi ni mshikaji wangu sana infact amezaa na mtoto na huyu jamaa aliyemuoa sasa!
FMEs!
Jamani siyo hivyo. Niliwahi kuongea na daktari mmoja wa Muhimbili alinidokeza kuwa wale watu walikuwa na NGOMAwakaenda nje kubadilisha damu, lakini kwa kuwa kipindi kile utaalam huo ulikuwa haujashamiri, mambo yakawaendea kombo. Kumbuka kuwa walikuwa wanafia nje na kuletwa maiti kama sijakosea.:msela:
yaliyopita si ndwele tugange yajayo
yaliyopita si ndwele tugange yajayo
Uzushi, uzushi, uzushi na uongo babu kubwa. You don't undermine the intelligence of Tanzanians mkidhani mtazusha na wao wataamini tu. Mnajitia kitanzi wenyewe na chama chenu kitakufa kifo cha fofofo. Siku za muongo kama zile za mwizi ni arubaini. Na kila mzushi hatima yake ni kugunduliwa na kuhadhirika kweli kweli. Wazushi wangapi walipita dunia hii na leo hawako. Uzushi ni laana hivyo kila ukizuwa ujuwe unalaanika.
Kimsingi naweza kukubaliana na sababu hizo mbili, kwa sababu katika siasa za Tanzania, ukipingana na matakwa ya wakubwa basi lolote linaweza kutokea. Kumbuka kwamba wizara ya fedha (na hazina pia) ni wizara nyeti sana kiasi kwamba iwapo utapishana kauli na wenye nchi, huenda likakupata lolote, ukichukulia kilichowapata Meghji, Mramba, Balali, Gray Mgonja, Liyumba na wengine.
Lisemwalo lipo!
Kuaminisha watu uongo kuwa ukweli ni hatari.Nani aliyekudanganya kua kwenye ukoo kulikua na ugomvi.Mimi ni mmoja wa familia HUO NI UONGO!!km unafahamu kindali ULI LITUNGULU/LIMYASHI
- Sawa sawa mkuu mimi Josephine ni mshikaji wangu sana infact amezaa na mtoto na huyu jamaa aliyemuoa sasa!
FMEs!
sina uhakika na gr alikufa na nini. Lakini kibona alikufa na ngoma na mwanamke alimuua ndiye alikuja kumuua na charles kabeho. Kibona alikuwa waziri wa elimu na baadaye akarithiwa na charles kabeho.
Familia ya rutihinda ilipatwa na janga la kufiwa na watoto watatu ndani ya mwezi mmoja. Alianza gilman wakati msiba haujaisha akafuatia finehas, mdogo wao alex aliyekuwa akiishi marekani alikuja msibani alipofika na yeye baada ya siku mbili akavuta. Makaburi yao yapo pale buguruni kwa mnyamani unaweza kwenda kuangalia tofauti ya siku walizopishana.
Jamani siyo hivyo. Niliwahi kuongea na daktari mmoja wa Muhimbili alinidokeza kuwa wale watu walikuwa na NGOMAwakaenda nje kubadilisha damu, lakini kwa kuwa kipindi kile utaalam huo ulikuwa haujashamiri, mambo yakawaendea kombo. Kumbuka kuwa walikuwa wanafia nje na kuletwa maiti kama sijakosea.:msela: