Ipo siku every secrete will be revealed. I hope I will live to see that day
Mke wake Gilman Rutihinda anadunda... sidhani kama G.R. alikufa kwa ukimwi...
acha uongo usiokua na maana huo.Kama walikua na ngoma iweje wafe pamoja na baadae kidogo wachape hela kama wazimbabwe?kama hujui ukweli kuchangia si razima.R.I.P wazalendo wa ukweli
jamani humu naona watu wanajibu hoja kwa visababu vya kijinga sana hadi inakera jaribuni kufikiria kwanza haiwezekani jitu likadai eti ukimwi ndio uliwaua just ndani ya miezi tu mbona wake zao bado wapo? Mama Kibona yupo Mikocheni B kule mzima wa afya ungekuwa ukimwi si angekufa zamani?
Jitu lingine linadai vyakula that's stupid comment kama hizo inafaa ziwe zinachangiwe kwenye kipindi cha mitikisiko ya pwani cha redio times fm sio humu jf humu ni kwawatu wenyeupeo mkubwa wa kufikiria,kuna vifo vimetokea ktk taifa hili mpaka leo vimeacha maswali coz haijulikani kifo kilikuwa cha kupangwa au la au kama cha kupangwa nani na nani walihusika embu ona listi hii hapa chini
1.KIFO CHA SOKOINE(HAUJULIKANI KAMA ILIKUWA AJALI YA KAWAIDA AU LA)
2.KIFO CHA KARUME(HAIJULIKANI NANI ALIHUSIKA )
3.KIFO CHA STEVEN KIBONA(INASADIKIWA ALILISHWA SUMU)
4.KIFO CHA RUTIHINDA(INASADIKIKA SUMU)
5.MEJA GEN KOMBE(MKUU WA TISS ALIPIGWA RISASI)
6.MALEK MZIRAI(ALIANDIKA KITABU KUHUSU KASELLA BANTU)
7.MCHUNGAJI URIA SIMANGO
8.MOUSA LEE MEMBER(ALITEKA NDEGE YA TZ AKAUWAWA UK ALIKOKIMBILIA)
9.GAVANA BALALI(HAIJULIKANI KAMA KAFARIKI)
10.HORICE KOLIMBA (SUMU INASADIKIWA)
11.PROF CHACHAGE SETH CHACHAGE (ALIKUFA BAADA YA KUANDIKA KITABU CHA MAKUWADI WA SOKO HURIA)
12.KIFO CHA CHACHA WANGWE
13.KIFO CHA DAVID MWAIKAMBO
NA WENGINE WENGI LIST YAO NI ENDLESS WENGINE WAMEUWAWA BILA YA JAMII KUJUA LAKINI UKIANGALIA VIFO VYA HAO WOTE VINASHARE KITU KIMOJA SAWA AMBACHO NIKWAMBA WOTE VIFO VYAO VILITOKEA JUST BAADA YA KUTOFAUTIANA NA VIONGOZI WA NCHI EITHER HAWAKUTII MAAGIZO YAO KWA MANUFAA YA WAO VIONGOZI AU WALIFANYA MAMBO AMBAYO YALIWAKERA HAO VIONGOZI SO JITU JINGA LENYE UFINYU WA MAWAZO LINASEMA ETI VYAKULA AU HIV KWELI HIV INAKUUA TU MARA BAADA YA KUTOFAUTIANA NA MHESHMIWA? WENGINE BAKINI WASOMAJI TU HUMU
Kibona alikuwa ni Waziri wa fedha, naye Rutihinda alikuwa ni Gavana wa Benki Kuu.
Hawa jamaa wazalendo, walikataa kuprint fedha na kuziingiza kwenye system kwani walijua wakifanya hivyo mfumuko wa bei na ugumu wa maisha ungeongezeka.
Bwana mkubwa kwa hasira za kukataliwa ombi lake akawapeleka India, waliporudi kutoka huko wote wakaanza kuumwa, na bwana mkubwa akatueleza kuwa wamelishwa vyakula vya Kihindi hivyo basi, walikumbwa na tumbo la kuharisha kwa sababu ya ugeni wa chakula cha Kihindi.
Hawakukaa muda mrefu, wakafa. Je ni kweli walidungwa sumu iuayo taratibu? Au ndio kifo chao kilikuwa chakawaida tu?
Kumbe Mzee Ruksa alikuwa Mafia ehhh
Chimo,'
Nakuomba uache uongo. Mke wa marehemu Rutihinda ameolewa na anadunda mzima kabisa mjini Nairobi.
Kibona alikuwa ni Waziri wa fedha, naye Rutihinda alikuwa ni Gavana wa Benki Kuu.
Hawa jamaa wazalendo, walikataa kuprint fedha na kuziingiza kwenye system kwani walijua wakifanya hivyo mfumuko wa bei na ugumu wa maisha ungeongezeka.
JBwana mkubwa kwa hasira za kukataliwa ombi lake akawapeleka India, waliporudi kutoka huko wote wakaanza kuumwa, na bwana mkubwa akatueleza kuwa wamelishwa vyakula vya Kihindi hivyo basi, walikumbwa na tumbo la kuharisha kwa sababu ya ugeni wa chakula cha Kihindi.
Hawakukaa muda mrefu, wakafa. Je ni kweli walidungwa sumu iuayo taratibu? Au ndio kifo chao kilikuwa chakawaida tu?
wewe unamzungumzia marehemu mwaikambo.jamani mbona rutihinda alikufa kwa ajali ya gari? Nyie mnaishi wapi? Si gari lake liligonga ubalozi wa burundi pale upanga! Nyie vp
wewe unamzungumzia marehemu mwaikambo.