Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Mwaka 1885 mwandishi H. Rider. Haggard aliandika kitabu King Solomon's Mines. Ndani ya kitabu hicho kuna kibibi kizee mmoja mwenye hila na katili sana. Jina lake Gagool.
Mwaka 1966 kitabu hicho kikatafsiriwa kwa kiswahili kikiitwa Mashimo ya Mfalme Sulemani. Jina Gagool likatafsiriwa kama Gagula.
Huo ndiyo mwanzo wa wanawake wazee "wachawi" kuanza kuitwa Vigagula.
Gagool.
Mwaka 1966 kitabu hicho kikatafsiriwa kwa kiswahili kikiitwa Mashimo ya Mfalme Sulemani. Jina Gagool likatafsiriwa kama Gagula.
Huo ndiyo mwanzo wa wanawake wazee "wachawi" kuanza kuitwa Vigagula.
Gagool.