Sababu ya kwa nini hatuoni faida za anachokifanya Denis Kibu

Sababu ya kwa nini hatuoni faida za anachokifanya Denis Kibu

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Wanasema kwa mpira wa sasa, magoli mengi yanatokea kwenye mipira ya kutengwa.

Wengi wanadai Denis Kibu sio mchezaji mzuri kisa hana magoli au assist nyingi ila wanasahau ni mmoja wa wachezaji wenye kuchezewa faulo kuliko mchezaji mwingine katika ligi ya NBC (ni mtazamo tu ila sina takwimu rasmi).

Shida inakuja sehemu tatu.

Kwanza, Simba ya msimu huu haina wapigaji wazuri wa faulo. Jiulize, ni magoli mangapi ya faulo na penati waliyokuwa wanafunga kina Saidoo na Chama yaliyokana na faulo alizochezewa Kibu? Sasa hivi hakuna wapigaji hao ingawa Simba inapata faulo nyingi sana nje kidogo tu ya 18.

Kuna mechi niliona hadi Kibu mwenyewe alipiga faulo nikasema kweli Simba msimu huu haina wapigaji.

Pili, waamuzi hawamtendei haki kisa ni mchezaji anayeonekana anatumia nguvu kwa hiyo kuna faulo nyingi ambazo haziitwi kisa waamuzi wanadhani hawezi kuangushwa kama anavyoanguka.

Tatu, kuna faulo ambazo haziitwi kwa sababu kuna kitu kidogo Kibu anakosea. Kibu akishaona beki anakuja, hajishughulishi tena na mpira na hafanyi tena juhudi za kuingia na mpira ndani, anakuwa kama anategea na kusubiri aguswe ndiyo maana marefa wanameza filimbi.

Pia hakuna faulo itaitwa wakati uko karibia na mstari halafu unaelekea direction ya kuutoa mpira nje badala ya uelekeo wa goli. Mifano ni mechi ya derby zile faulo alizofanyiwa na Mudathir na Bacca.

Kibu anafanyiwa faulo nyingi za namna hii. Ajifunze kuhakikisha ana timing nzuri hata audokoe tu mpira uelekeo wa goli kabla yeye hajaguswa badala ya kujaribu tu kuulinda mpira usiguswe na mpinzani, penati zake zitaongezeka sana.

Mwisho wa siku, Simba ifanyie kazi kupata wapigaji faulo ndiyo itamfaidi Kibu na anachokifanya uwanjani. Leo hii hadi Zimbwe anapiga faulo za Simba wakati ni mmoja wa wachezaji walio na uwezo mdogo sana wa kupiga mipira mirefu.
 
Wanasema kwa mpira wa sasa, magoli mengi yanatokea kwenye mipira ya kutengwa.

Wengi wanadai Denis Kibu sio mchezaji mzuri kisa hana magoli au assist nyingi ila wanasahau ni mmoja wa wachezaji wenye kuchezewa faulo kuliko mchezaji mwingine katika ligi ya NBC (ni mtazamo tu ila sina takwimu rasmi).

Shida inakuja sehemu tatu.

Kwanza, Simba ya msimu huu haina wapigaji wazuri wa faulo. Jiulize, ni magoli mangapi ya faulo na penati waliyokuwa wanafunga kina Saidoo na Chama yaliyokana na faulo alizochezewa Kibu? Sasa hivi hakuna wapigaji hao ingawa Simba inapata faulo nyingi sana nje kidogo tu ya 18.

Kuna mechi niliona hadi Kibu mwenyewe alipiga faulo nikasema kweli Simba msimu huu haina wapigaji.

Pili, waamuzi hawamtendei haki kisa ni mchezaji anayeonekana anatumia nguvu kwa hiyo kuna faulo nyingi ambazo haziitwi kisa waamuzi wanadhani hawezi kuangushwa kama anavyoanguka.

Tatu, kuna faulo ambazo haziitwi kwa sababu kuna kitu kidogo Kibu anakosea. Kibu akishaona beki anakuja, hajishughulishi tena na mpira na hafanyi tena juhudi za kuingia na mpira ndani, anakuwa kama anategea na kusubiri aguswe ndiyo maana marefa wanameza filimbi.

Pia hakuna faulo itaitwa wakati uko karibia na mstari halafu unaelekea direction ya kuutoa mpira nje badala ya uelekeo wa goli. Mifano ni mechi ya derby zile faulo alizofanyiwa na Mudathir na Bacca.

Kibu anafanyiwa faulo nyingi za namna hii. Ajifunze kuhakikisha ana timing nzuri hata audokoe tu mpira uelekeo wa goli kabla yeye hajaguswa badala ya kujaribu tu kuulinda mpira usiguswe na mpinzani, penati zake zitaongezeka sana.

Mwisho wa siku, Simba ifanyie kazi kupata wapigaji faulo ndiyo itamfaidi Kibu na anachokifanya uwanjani. Leo hii hadi Zimbwe anapiga faulo za Simba wakati ni mmoja wa wachezaji walio na uwezo mdogo sana wa kupiga mipira mirefu.
Comrade huwa unatumia kinywaji gani? Hivi lengo kuu hasa la huu uzi wako ni nini!!

Naona tu umeandika maelezo mareefu!! Halafu ukisoma ndani unakutana na habari za Kibu sijui amefanyiwa faulo!! Mara sijui Zimbwe anapiga faulo!
 
Comrade huwa unatumia kinywaji gani? Hivi lengo kuu hasa la huu uzi wako ni nini!!

Naona tu umeandika maelezo mareefu!! Halafu ukisoma ndani unakutana na habari za Kibu sijui amefanyiwa faulo!! Mara sijui Zimbwe anapiga faulo!
Nikileta mada nahakikisha nacover angle zote ili watu kama nyie msije na dosari. Kosoa nilichoandika, mengine yaache kama unaona hayakuhusu.
 
Kibu ni mchezaji asiye na akili hata moja ya mpira
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwak
JamiiForums-2104962820.jpeg
arobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
 
Sema moja,je kibu ana umhimu simba au hana? Na kama kibu,anasababisha faulo ambazo kina AHOUA wanakosa yeye atakuwa ameisaidia vp team yake? pia umesema kibu akiona anakabwa hupunguza concetration ktk mpira badala yake husubiri kujiangusha hali inayopelekea waamuzi wameze filimbi je anasaidia ktk angle ipi huyu jamaa? asist hana,goli hana, hata kumsaidia aliyetoa asist hana hy record unafikili ana faida gn sasa?. kipa anapimwa kwa saves,namna anavyopanga walinzi wake,na namna anavyoanzisha mashambulizi,mabeki wanapimwa kwa, tackling,kuzuia mipira ya juu/chini nk, viungo wakabaji ni ukabaji,viungo washambuliaji na mawinga wanapimwa kwa asists na kwa mbali magoli, mshambuliaji yeye anapimwa kwa magoli tu. je kibu tumpime ktk mzani upi?
 
Sema moja,je kibu ana umhimu simba au hana? Na kama kibu,anasababisha faulo ambazo kina AHOUA wanakosa yeye atakuwa ameisaidia vp team yake? pia umesema kibu akiona anakabwa hupunguza concetration ktk mpira badala yake husubiri kujiangusha hali inayopelekea waamuzi wameze filimbi je anasaidia ktk angle ipi huyu jamaa? asist hana,goli hana, hata kumsaidia aliyetoa asist hana hy record unafikili ana faida gn sasa?. kipa anapimwa kwa saves,namna anavyopanga walinzi wake,na namna anavyoanzisha mashambulizi,mabeki wanapimwa kwa, tackling,kuzuia mipira ya juu/chini nk, viungo wakabaji ni ukabaji,viungo washambuliaji na mawinga wanapimwa kwa asists na kwa mbali magoli, mshambuliaji yeye anapimwa kwa magoli tu. je kibu tumpime ktk mzani upi?
Kibu ana magoli mengi mashindano ya CAF msimu huu kuliko kikosi kizima cha Yanga. Case closed.
 
Hahahahaha! Si ujibu mkuu! Au tuseme wewe ni mfanowe jiwe,kila utakalosema ni zuri tu hata kama linahtaji ukosoaji ? Ngoja tuone.
 
Wanasema kwa mpira wa sasa, magoli mengi yanatokea kwenye mipira ya kutengwa.

Wengi wanadai Denis Kibu sio mchezaji mzuri kisa hana magoli au assist nyingi ila wanasahau ni mmoja wa wachezaji wenye kuchezewa faulo kuliko mchezaji mwingine katika ligi ya NBC (ni mtazamo tu ila sina takwimu rasmi).

Shida inakuja sehemu tatu.

Kwanza, Simba ya msimu huu haina wapigaji wazuri wa faulo. Jiulize, ni magoli mangapi ya faulo na penati waliyokuwa wanafunga kina Saidoo na Chama yaliyokana na faulo alizochezewa Kibu? Sasa hivi hakuna wapigaji hao ingawa Simba inapata faulo nyingi sana nje kidogo tu ya 18.

Kuna mechi niliona hadi Kibu mwenyewe alipiga faulo nikasema kweli Simba msimu huu haina wapigaji.

Pili, waamuzi hawamtendei haki kisa ni mchezaji anayeonekana anatumia nguvu kwa hiyo kuna faulo nyingi ambazo haziitwi kisa waamuzi wanadhani hawezi kuangushwa kama anavyoanguka.

Tatu, kuna faulo ambazo haziitwi kwa sababu kuna kitu kidogo Kibu anakosea. Kibu akishaona beki anakuja, hajishughulishi tena na mpira na hafanyi tena juhudi za kuingia na mpira ndani, anakuwa kama anategea na kusubiri aguswe ndiyo maana marefa wanameza filimbi.

Pia hakuna faulo itaitwa wakati uko karibia na mstari halafu unaelekea direction ya kuutoa mpira nje badala ya uelekeo wa goli. Mifano ni mechi ya derby zile faulo alizofanyiwa na Mudathir na Bacca.

Kibu anafanyiwa faulo nyingi za namna hii. Ajifunze kuhakikisha ana timing nzuri hata audokoe tu mpira uelekeo wa goli kabla yeye hajaguswa badala ya kujaribu tu kuulinda mpira usiguswe na mpinzani, penati zake zitaongezeka sana.

Mwisho wa siku, Simba ifanyie kazi kupata wapigaji faulo ndiyo itamfaidi Kibu na anachokifanya uwanjani. Leo hii hadi Zimbwe anapiga faulo za Simba wakati ni mmoja wa wachezaji walio na uwezo mdogo sana wa kupiga mipira mirefu.
Mara ya mwisho kufunga ligi kuu ni mwaka 2023
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. MwakView attachment 3134110arobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
Hakika una dalili zote za kupigwa wima
 
Back
Top Bottom