Sababu ya kwanini wanawake tunaonekana tunapenda pesa

Rekebisha kauli yako, They still depend on our sperms to conceive, hata kama itakuwa kwa One- night stand !

wala sirekebishi mkuu,nimeona wadada waki adopt watoto yatima kutoka vituoni.
 
kama umri wako ndio huo kwenye username yako,basi bwana...
Rebecca bana umenipiga nyundo ya utosi. Poa bwana. Hata mie nitafikia umri wako. Wanawake mmezidi ukiona tu mfuko tena wa mwanaume unajua una hela. Kama una kazi usiniombe hela bila sababu.
 
Pumba tu hata kama mwanamke ana kazi anakubomu tu sasa wa kazi gani?

HAHAHAHAH WEWE MWANAWANE UMEONGEA UKWELI. MIE NIKUWA NA RAFIKI YANGU WAKIZUNGU AKAWA ANAOA BASI NIKAMUULIZA...MZEE NYIE MWAENDAGA 50/50 SII NDIO? AKASEMA WEEE...HILO LA 50/50 KWENYE MAMBO MENGINE KWENYE PESA MIE NAGHARAMIA 80% ....NIKAONA KUMBE HAWA WANAWAKE LAO MOJA TUU...KUTUMALIZIA HELA ZETU. SASA NA MIE NACHAKAZA PAPUCHI ZAO
 
Rebecca bana umenipiga nyundo ya utosi. Poa bwana. Hata mie nitafikia umri wako. Wanawake mmezidi ukiona tu mfuko tena wa mwanaume unajua una hela. Kama una kazi usiniombe hela bila sababu.

hahaaa mkuu sijakupiga bana,ila ukiwa mdogo,sometimes it means hujaona mengi,anyway niamkie lol
 
hahaaa mkuu sijakupiga bana,ila ukiwa mdogo,sometimes it means hujaona mengi,anyway niamkie lol
Ha ha ha ha ha sikuamkii ng'oo hakuna mkate mkubwa mbele ya chai. Mie umri wangu unatosha kuexperience. Muda mwingine huwa nawaona wanawake kama parasite(wadudu nyemelezi) ama wachoyo. Mwanamke kama ana pesa ni zake tu. Shikamoo dada
 
unaongea haya sababu wewe ni kizazi cha dot com,wanawake wa kizazi cha leo wana access to eduction,hio imewafanya wawe na power na hela hivyo kutotegemea sana mwanaume kwa lolote
hakuna kitu kama hicho wanawake wengi (sio wote) mnapenda pesa ya mwanaume haijalishi worker or jobless..educated or uneducated wote mnapenda pesa ya mwanaume mmekuwa na typical way of thinking
nasubira povu
 
hakuna kitu kama hicho wanawake wengi (sio wote) mnapenda pesa ya mwanaume haijalishi worker or jobless..educated or uneducated wote mnapenda pesa ya mwanaume mmekuwa na typical way of thinking
nasubira povu


hahaaaaa wanaume na michepuko,wanawake na pesa!hahahahahah sijui utachomoka vipi wakija? lol
 
Hili litaendelea kuvunja mahusiano mengi. Hawa ni wachoyo
Na kibaya zaidi unakuta mkeo ( Mwenye kipato kizuri tu ) ananua vitu kama viwanja na kujenga bila hata kukushirikisha, Na kama mna watoto ndo basi tena hata kama wamefukuzwa ADA Hatoi pesa mpaka baba yao ATOE

- Binafsi huwa nikishuhudia ndoa za watu zilivyo unakosa mood kabisa
 
Wanaume ukiwa na pesa mpe ale, avae, asuke aishi vizuri anavyotaka. Acheni ubaili, mkiwa hamna pesa mnachonga saaaaaana kama huna pesa za kumpa ili aishi vizuri na ale vizuri pita hivi huna lolote
 
Wanawake mabahili sana bora asiye na kipato
 
Kila wanaume na wanawake sote tunapenda pesa. .
Ndio maana unadamka kitandani kwako kwenda kuitafuta, ukiwa umefulia unahisi dunia chungu. .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…