Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu kubwa ni wanaume kama mabinti...wanakula kunywa na kuvaa siku zinaenda.Nini sababu ya Mwanamuziki Nguli duniani lady jay Dee kuachana na mume wake wa ndoa? Mwenye kujua tafadhali ili tuweke rekodi sawa.
😒😒😒... Aiseeekwa hiyo andrea na hizo ngogwe zako mbili na bamia moja umekaa kabisa unataka kujua kwa nn jide kaachana na mumewe? wanaume mnapungua sana umbea achia wanawake mahi.
Dunia ipi unayoiongelea hapa?Mwanamuziki Nguli duniani lady jay Dee
Tuliza mshonoDunia ipi unayoiongelea hapa?
Unataka kujua mwenzako aliachika kwa sababu zipi ili wewe usije kumkosea mumeo?Tuliza mshono
Naam! Mwanamke wa shoka. Mwanamke anayejiamini na kujitambua. Mwanamke ambaye hayuko tayari kuteseka na hata kupoteza maisha yake kisa eti anavumilia madhila ya kwenye ndoa na mume furushi. I am a proud dad of one of such women! 💪💪💪jide alimchinjia baharini mwamba bila huruma
Mumewe alikua anawashika makalio wahudumu nyumbani lonj mbele ya mkeweNini sababu ya Mwanamuziki Nguli duniani lady jay Dee kuachana na mume wake wa ndoa? Mwenye kujua tafadhali ili tuweke rekodi sawa kwenye maandishi.
Cc: kataa ndoa
Anayejua ni huyo huyo Lady Jay Dee. Umechelewa, ungemuuliza na mumwe kabla hajaondoka duniani.Nini sababu ya Mwanamuziki Nguli duniani lady jay Dee kuachana na mume wake wa ndoa? Mwenye kujua tafadhali ili tuweke rekodi sawa kwenye maandishi.
Cc: kataa ndoa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwa hiyo andrea na hizo ngogwe zako mbili na bamia moja umekaa kabisa unataka kujua kwa nn jide kaachana na mumewe? wanaume mnapungua sana umbea achia wanawake mahi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jide alimchinjia baharini mwamba bila huruma. Jamaa akarudi Kwa watesi wa komando ili kumkomoa. Hatimae kaondoka kaacha harrier ha makochi
Ha ha haKukojozwa sana