Wewe ni Kolo,hakuna mwanayanga asiyefahamu kwasasa timu inachopitia!Mawazo kama haya Huwa yanatoka Kwa Mashabiki wa Simba.
Mashabiki wa Yanga tunajua Changamoto ya Uwanja, tunajua team Ina Wachezaji karibia 30 na wote ni Wachezaji wa Team.
Tunajua approach ya team ikicheza Ugenini ni tofauti na Nyumbani.
Tunajua team nyingi zinatukamia..!
Mashabiki wa Yanga hatuna mawazo ya aina hii.
madhara mojawapo ni kumtisha adui, adui anasambaratika na kuanza kumfukuza huku ameacha defence wazi na cross zake zimekuwa hatarishi sana kwa adui. kwa kifupi huwezi kumlinganisha kabisa boka na lomalisa. kila mara lomarisa akiingia watu walikuwa wanashika moyo kujua muda si mrefu kuna kadi. na mguu wake ni mmoja tu wa kushoto ambao hata hivyo haumeneji kama aziz ki.Boka ana mbio lakini mbio zake hazina madhara Kwa wapinzani mkuu!
Mkuu Boka Hana maajabu,Lomalisa Krosi zake zilikuwa na Impact,huyo Boka niambie ni Krosi ngapi amepiga zilizo na Impact Kwa timu!,Lomalisa alijua kufinya na kuwapunguza wapinzani,Boka akishika Mpira yeye anachowaza ni mbio tu, wapinzani wameshamjulia na ndiyo maana Hana madhara Kwa wapinzani,labda Kimataifa huko ambalo hawajamjua lakini ligi ya ndani sidhani kama atakuwa na impact Kwa timu!madhara mojawapo ni kumtisha adui, adui anasambaratika na kuanza kumfukuza huku ameacha defence wazi na cross zake zimekuwa hatarishi sana kwa adui. kwa kifupi huwezi kumlinganisha kabisa boka na lomalisa. kila mara lomarisa akiingia watu walikuwa wanashika moyo kujua muda si mrefu kuna kadi. na mguu wake ni mmoja tu wa kushoto ambao hata hivyo haumeneji kama aziz ki.
Mkuu hata uwe na kocha gani, timu haiwezi kuwa ktk level ile ile ya ubora muda wote, kilichobora kwetu sasa ni matokeo, licha ya kua tunapitia kipindi kigumu.Nakubaliana na wewe mkuu but Kocha mkuu na kocha wa viungo Kuna kazi ya ziada!,sijajua ni kwanini Gamondi alimkataa yule kocha wa Viungo aliyemkuta,jamaa aliwajenga wachezaji Kwa Ubora wa Hali ya Juu!
Huyu wa Sasa ni kama hakuna anachokifanya,si mbali utasikia Yanga wameachana nae
Muhimu pointi tatu zinapatikana kwenye kila mechi. Hayo masuala ya timu kucheza vizuri/vibaya yaachiwe kocha na benchi lake la ufundi.
Mkuu acha Kuwa shabiki maandazi,Kwasasa Yanga anacheza vibaya na sometimes kutokuruhusu goal siyo kwamba timu
Timu Gani inacheza vizuri zaidi ya Yanga kwenye ligi.Mkuu acha Kuwa shabiki maandazi,Kwasasa Yanga anacheza vibaya na sometimes kutokuruhusu goal siyo kwamba timu inacheza vizuri!
Kwa hiyo yale magoli dhidi ya Vitalo na wahabeshi, hayakuwa yanatengenezwa na pressing ya wachezaji wa Yanga?Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!
Kabla ya yote nikubali ya kwamba Mimi ni shabiki na mkereketwa wa timu ya Yanga!,hivyo nitakachokiandika hapa kinaihusu timu ya Yanga!
Tangu ligi ya NBC imeanza kiukweli binafsi hakuna mechi hata moja kutoka Kwa timu yangu ya Yanga iliyonishawishi na kunivutia!
Timu kwasasa inashinda Kwa mbinde na makosa ya Marefa (Ukweli lazima usemwe),sijaona kabisa timu ikitengeneza nafasi na Kuwa katiri kwenye lango la mpinzani,hii ni tofauti kabisa na msimu wa mwaka Jana!,Sasa bado sijaelewa ni mbinu na kiwango Cha Gamondi kimefika mwisho au tatizo ni wachezaji?
Mbona wachezaji takribani wote wa msimu wa mwaka Jana ndiyo hawahawa?,au shida ni kuchoka?
Wachezaji walioshuka kiwango Kwa Hali ya Juu!
1.Aziz Ki
Huyu jamaa Bado sijajua ni kitu gani kinamsumbua,yaani akiwa nje kabla hajaingia unaona namna anavyowaelekeza wenzie wakiwa dimbani utadhani yeye ndiye kocha!,ila akiingia uwanjani anacheza ovyo mnoo!
2.Khalid Aucho
Huyu yeye kiwango kimeshuka zaidi na Wala halihitaji binocular kuona hilo,kwasasa Babu Kaju ni Bora kuliko Aucho ila sema ndo vile Kwa Gamondi ni kama kalogewa!,jamaa anacheza vibaya na kiwango hakiridhishi hata kidogo,sijajua ni kutumika sana au umri umemtupa mikono!
3.Chadrak Boka
Bado sijajua sababu za kutokumuongezea mkataba Joyce Lomalisa zilikuwa ni zipi,Huyu Boka hamzidi kitu chochote Kibabage,kwasababu kama ni kukimbia wote wanakimbia na hatimaye huwa hawana mbinu mbadala,Joyce Lomalisa alikuwa ni habari nyingine linapokuja suala la utulivu na upigaji wa Krosi!,Kama Hersi aliamua kutomuongezea mkataba Lomalisa na kumletea Boka Kwa nia ya kuongezea hatari Kwa wapinzani,kiukweli hapa tumeingia chakike!,Boka Hana Ubora kama tulivyoaminishwa!
Naelewa timu za ligi kuu msimu huu ziko vizuri,hilo halina Ubishi!
Tatizo la timu yangu ya Yanga ni Kucheza vibaya kila mechi na kushinda Kuwa katiri kwenye lango la mpinzani tofauti na msimu uliopita!
Mechi ya Jkt wiki iliyopita walikuwa wanacheza mpira mzuri pamoja na kipa wao kupewa kadi nyekundu!,Hivi Yanga ya Msimu uliopita ingekuta Jkt kapewa redi kadi vile tena kipindi Cha kwanza,Nina hakika Jkt angekufa si chini ya goli 7!
Tatizo kwasasa pale Yanga ni Nini?, na Je tiba yake ni ipi?
Kila siku timu badala ya kuongeza kiwango ndiyo inashuka kiwango!
Fountain GateTimu Gani inacheza vizuri zaidi ya Yanga kwenye ligi.
Kama Yanga inacheza vibaya
Wewe ni shabiki wa Simba acha ujinga mzee!!Mkuu acha Kuwa shabiki maandazi,Kwasasa Yanga anacheza vibaya na sometimes kutokuruhusu goal siyo kwamba timu inacheza vizuri!
Ila timu kucheza mechi 7 bila kufungwa inatokana na nini mchambuzi?Mkuu acha Kuwa shabiki maandazi,Kwasasa Yanga anacheza vibaya na sometimes kutokuruhusu goal siyo kwamba timu inacheza vizuri!
Wewe hujui mpiraWewe utakuwa na matatizo ya kiakili!
Labda nikujibu kitaalamu hoja yako kwa kufata sayansi ya Mpira na sio mihemko ya shabiki asiyejitambua na asiyeuelewa Mpira,Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!
Kabla ya yote nikubali ya kwamba Mimi ni shabiki na mkereketwa wa timu ya Yanga!,hivyo nitakachokiandika hapa kinaihusu timu ya Yanga!
Tangu ligi ya NBC imeanza kiukweli binafsi hakuna mechi hata moja kutoka Kwa timu yangu ya Yanga iliyonishawishi na kunivutia!
Timu kwasasa inashinda Kwa mbinde na makosa ya Marefa (Ukweli lazima usemwe),sijaona kabisa timu ikitengeneza nafasi na Kuwa katiri kwenye lango la mpinzani,hii ni tofauti kabisa na msimu wa mwaka Jana!,Sasa bado sijaelewa ni mbinu na kiwango Cha Gamondi kimefika mwisho au tatizo ni wachezaji?
Mbona wachezaji takribani wote wa msimu wa mwaka Jana ndiyo hawahawa?,au shida ni kuchoka?
Wachezaji walioshuka kiwango Kwa Hali ya Juu!
1.Aziz Ki
Huyu jamaa Bado sijajua ni kitu gani kinamsumbua,yaani akiwa nje kabla hajaingia unaona namna anavyowaelekeza wenzie wakiwa dimbani utadhani yeye ndiye kocha!,ila akiingia uwanjani anacheza ovyo mnoo!
2.Khalid Aucho
Huyu yeye kiwango kimeshuka zaidi na Wala halihitaji binocular kuona hilo,kwasasa Babu Kaju ni Bora kuliko Aucho ila sema ndo vile Kwa Gamondi ni kama kalogewa!,jamaa anacheza vibaya na kiwango hakiridhishi hata kidogo,sijajua ni kutumika sana au umri umemtupa mikono!
3.Chadrak Boka
Bado sijajua sababu za kutokumuongezea mkataba Joyce Lomalisa zilikuwa ni zipi,Huyu Boka hamzidi kitu chochote Kibabage,kwasababu kama ni kukimbia wote wanakimbia na hatimaye huwa hawana mbinu mbadala,Joyce Lomalisa alikuwa ni habari nyingine linapokuja suala la utulivu na upigaji wa Krosi!,Kama Hersi aliamua kutomuongezea mkataba Lomalisa na kumletea Boka Kwa nia ya kuongezea hatari Kwa wapinzani,kiukweli hapa tumeingia chakike!,Boka Hana Ubora kama tulivyoaminishwa!
Naelewa timu za ligi kuu msimu huu ziko vizuri,hilo halina Ubishi!
Tatizo la timu yangu ya Yanga ni Kucheza vibaya kila mechi na kushinda Kuwa katiri kwenye lango la mpinzani tofauti na msimu uliopita!
Mechi ya Jkt wiki iliyopita walikuwa wanacheza mpira mzuri pamoja na kipa wao kupewa kadi nyekundu!,Hivi Yanga ya Msimu uliopita ingekuta Jkt kapewa redi kadi vile tena kipindi Cha kwanza,Nina hakika Jkt angekufa si chini ya goli 7!
Tatizo kwasasa pale Yanga ni Nini?, na Je tiba yake ni ipi?
Kila siku timu badala ya kuongeza kiwango ndiyo inashuka kiwango!
Lomalisa aliwatia Sana hasara dawasco alikuwa anamwaga majo hovyoNsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!
Kabla ya yote nikubali ya kwamba Mimi ni shabiki na mkereketwa wa timu ya Yanga!,hivyo nitakachokiandika hapa kinaihusu timu ya Yanga!
Tangu ligi ya NBC imeanza kiukweli binafsi hakuna mechi hata moja kutoka Kwa timu yangu ya Yanga iliyonishawishi na kunivutia!
Timu kwasasa inashinda Kwa mbinde na makosa ya Marefa (Ukweli lazima usemwe),sijaona kabisa timu ikitengeneza nafasi na Kuwa katiri kwenye lango la mpinzani,hii ni tofauti kabisa na msimu wa mwaka Jana!,Sasa bado sijaelewa ni mbinu na kiwango Cha Gamondi kimefika mwisho au tatizo ni wachezaji?
Mbona wachezaji takribani wote wa msimu wa mwaka Jana ndiyo hawahawa?,au shida ni kuchoka?
Wachezaji walioshuka kiwango Kwa Hali ya Juu!
1.Aziz Ki
Huyu jamaa Bado sijajua ni kitu gani kinamsumbua,yaani akiwa nje kabla hajaingia unaona namna anavyowaelekeza wenzie wakiwa dimbani utadhani yeye ndiye kocha!,ila akiingia uwanjani anacheza ovyo mnoo!
2.Khalid Aucho
Huyu yeye kiwango kimeshuka zaidi na Wala halihitaji binocular kuona hilo,kwasasa Babu Kaju ni Bora kuliko Aucho ila sema ndo vile Kwa Gamondi ni kama kalogewa!,jamaa anacheza vibaya na kiwango hakiridhishi hata kidogo,sijajua ni kutumika sana au umri umemtupa mikono!
3.Chadrak Boka
Bado sijajua sababu za kutokumuongezea mkataba Joyce Lomalisa zilikuwa ni zipi,Huyu Boka hamzidi kitu chochote Kibabage,kwasababu kama ni kukimbia wote wanakimbia na hatimaye huwa hawana mbinu mbadala,Joyce Lomalisa alikuwa ni habari nyingine linapokuja suala la utulivu na upigaji wa Krosi!,Kama Hersi aliamua kutomuongezea mkataba Lomalisa na kumletea Boka Kwa nia ya kuongezea hatari Kwa wapinzani,kiukweli hapa tumeingia chakike!,Boka Hana Ubora kama tulivyoaminishwa!
Naelewa timu za ligi kuu msimu huu ziko vizuri,hilo halina Ubishi!
Tatizo la timu yangu ya Yanga ni Kucheza vibaya kila mechi na kushinda Kuwa katiri kwenye lango la mpinzani tofauti na msimu uliopita!
Mechi ya Jkt wiki iliyopita walikuwa wanacheza mpira mzuri pamoja na kipa wao kupewa kadi nyekundu!,Hivi Yanga ya Msimu uliopita ingekuta Jkt kapewa redi kadi vile tena kipindi Cha kwanza,Nina hakika Jkt angekufa si chini ya goli 7!
Tatizo kwasasa pale Yanga ni Nini?, na Je tiba yake ni ipi?
Kila siku timu badala ya kuongeza kiwango ndiyo inashuka kiwango!
Nje ya hapo pia alikuwa mstaraabu sana ila kwenye uchezaji jamaa alikuwa anajua sana ku scan mchezoLomalisa ni bora sana kuliko boka! Lomalisa anatumia akili sana kila alipokuwa anapanda alikuwa analeta muunganiko mzuri na akina azizi ki! Boka ana nguvu na speed lakini ubunifu hakuna! Sijui kwa nn lomalisa aliachwa!