Sababu za bei elekezi ya mafuta kwa mwezi Septemba kuchelewa

Artifact Collector

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
6,617
Reaction score
10,205
Mpaka leo bei elekezi ya mafuta mwezi Septemba haijatoka hizo zinaweza zikawa sababu
  • Zoezi la kuongeza sifuri limekua gumu kwa sababu bei ya mafuta Duniani imeshuka sasa utaongezaje mafuta hapa kunawaweka Serikali katika wakati mgumu kwa sababu kupandisha bei ni kuwadanganya Watanzania waziwazi.
  • Kelele za tozo za benki, kelele za tozo za benki kumewaweka Tanzania katika wakati mgumu wa kuongeza sifuri kwenye bei ya mafuta kwa sababu kwa kufanya hivyo ni kuendelea kuwaongezea machungu kwa Watanzania .
  • Sababu hizo mbili ni mwiba kwa Serekali sababu lengo lilikua ni kuongeza sifuri
NB: kumbuka anachojua mwigulu nchemba ni kuongeza sifuri tofauti na hapo hana ubunifu mwingine
 
Usiwe na hofu, wanahamishia maumivu Taneco, kuna tangazo la tanesco wametoa jama kwamba tutie luku za kutosha maana kutakuwa na matengenezo ya system ya luku kwa siku 4,,, Hayo matengenezo ya system ukiunganisha dots unapata jibu kinachokusudiwa ni tozo
 
Wakisema mwezi huu itashuka, wanadhani tumesahau, wanapotezea.

Tunaongozwa na watu waliokalia viti bila ridhaa ya wananchi. Tuungane kuwakataa watatupeleka SHIMONI.
 
Hapana watakwambia haya waliagiza June, kuna mafyekele mengine wanafanya huko
 
Walikua wanasubiri pia kikao cha baraza la mawaziri. Wahuni hawataki ishusha diesel kisa tunailipia kwenye ongezeko la nauli
 
Akili zako fupi sana!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…