jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Wakuu, ukweli uko wazi CCM hawaitaki katiba mpya kwasababu ndio anguko lao la kiutawala, pia uwepo wa tume huru ndio msumali wa mwisho kwenye jeneza lao la utawala wa ulaghai.
Muungano huu ni feki na hauna faida kwa watanganyika zaidi ya kuwalalia na kuwanyonya, Kinana hajaweza kujibu hoja zaidi ya porojo tu na kutafuta huruma kwa watz.
Lisuu shikiria hapohapo.
Muungano huu ni feki na hauna faida kwa watanganyika zaidi ya kuwalalia na kuwanyonya, Kinana hajaweza kujibu hoja zaidi ya porojo tu na kutafuta huruma kwa watz.
Lisuu shikiria hapohapo.