Tatizo litakuwa ni trap ina leakage maji yana pungua au trap haipo square.. Ina wezekana unapo kuwa una kitumia ukimwaga maji harufu ina kata maji ya kipungua kwenye tundu la choo harufu inarudi ita kulazimu harufu ikiwa inarudi umwage maji lakini pia ina wezekana lile bomba la kuondoa hewa chafu ambalo lina kaa kwenye chemba (vent) ni fupi lipo karibu na dirisha hewa ikitoka ina rudi ndani au pia ina wezekana slop mteremko wa bomba la kuchukua uchafu kutoka kwenye choo ukawa ni mkali sana uchafu una enda kiasi mwingine una baki ndani ya bomba hapo harufu lazima irudi kwa sababu kile kinyesi kitakuwa kina fyonza maji ndani ya trap hapo pana itaji malekebisho hili kikae sawa...Vp Kama kinatoa harufu kwa muda Fulani alafu harufu inakata inarudi Tena baada ya muda furani. Hapo tatizo nini
Ukitaka kuondoa harufu weka bomba nje ya choo lisilopungua inchi nne na lipite kimo cha paa la choo, pia bomba jingine fupi liwe kwenye shimo la uchafu.Habari ndugu zangu wa JF..Leo tuzungumzie sababu za harufu chafu ya choo kurudi ndani asa katika vyoo vya kuchuchumaa au Asian type..zifuatazo ni sababu za harufu chafu kurudi ndani..
1.Trap kutoboka (leakage)hii upelekea maji kupotea hii yanayo patikakana ndani ya trap (Water seal) ambayo uzuia harufu kurudi ndani ya nyumba haya ni maji ambayo umwaga baada ya kujisaidia kiasi flani ubaki kuzuia harufu..
Kuto kuseti vizuri trap hii upelekea maji kupungua na hivyo kushindwa kuzuia harufu kurudi ndani..
2..Flush cistern tank size za vyoo zimetofautiana endapo utaweka choo cha size ndogo pia flush tank pia weka dogo la kawaida hili ziendane katika kasi ya maji kusafisha kinyesi..ukiweka choo ambacho ni kikubwa weka flush cistern kubwa ziendane endapo choo kitakuwa kidogo ukaweka flush tank kubwa hii itasababisha maji yatoke kwa kasi na kusababisha maji ya baki kidogo sana kwenye trap..
3.kuto tumika choo kwa mda mrefu hii usababisha yale maji kwenye trap kupungua kwa njia ya enyevu nyevu...Kama una swali uliza...View attachment 2140815
Kiswahili chako na cha mleta mada kinafanana...Mala nyingi tuna kutana na wateja ambao Wana sumuliwa na hii hali....
Kuna nyumba nilikuta hili tatizo.. Kilicho sababisha pale ni drainage system alio weka fund akiunganisha Bomba zote yaani Besen la kunawia +maji ya kuoga akaunga kwenye Bomba la soil (Choo)..
Kilicho tokea hakuweka trap pale kwenye floor na pia kwenye Besen hakukuwa na trap harufu iliyo kuwa una toka choon ikawa ime tamalaki humo ndani.
Hii ufanywa na mafundi either kwa makosa au kuto kujua mana Kuna mafund wengi wa kuunga Unga