Wataalam na wazoefu wa magari ninatatizo kwenye gari ambapo coolant inaisha mapema kwenye reservoir tank.
Nilipo watalaam wachache kwa hiyo ukiuliza wanakwambia nunua uongeze.Nimenunua mara kadhaa lakini hali inajirudia.
Tatizo linaweza kuwa nini?
Nilipo watalaam wachache kwa hiyo ukiuliza wanakwambia nunua uongeze.Nimenunua mara kadhaa lakini hali inajirudia.
Tatizo linaweza kuwa nini?