Tetesi: Sababu za Dkt. Kalemani kutumbuliwa Uwaziri, genge lamponza


Ndugu yangu,Biashara zinazo husisha makampuni makubwa Zina Tabia ya kuwekea mazingira magum zile zinazo anza.

Hapo Serikali ilitakiwa itengeneze mazingira kwa muda fulani kwa kampuni wazawa.

Nitakupa mfano wa chini kabisa kwakua mm sijui uwezo wako wa kuelewa mambo.

Ukitaka kujua kua Biashara ya mbao kutoka hapo mufindi Hadi Dar ni changa moto uliza wanao anza. Utashangaa ukiagiza semi Hadi Dar Ili upate faida unahitaji kuuza 2*2 ya cyplus sh.5000 Ili Hali Bei yake kwa wazoefu ni sh. 3000.

Mfano mwingine mdogo kabisa

Nenda singida kaagize matenga ya kuku Hadi hapa Dar, utabaki unashangaa wanaoleta Kila siku wanapataje faida ilihali we msingi umekata.

Chukulia mifano hii ya mazingira yetu ya chini kabisa then husanisha na makampuni makubwa ya Biashara ulimwenguni.

Kunakua na akili ya mambo, lakini kua smart pia.

NB: Kama kunamambo yanaumiza watu, kwa sasa ni mengi. Wanzania ni wavumilivu- just imagine kamshara kamtumishi let's say

mwalimu hazina kanakatwa kodi kubwa tu P.A.YE,

kakiwekwa benki kanakatwa tozo,
Akichukua akalipa bill ya maji na umeme kanakatwa VAT

Akiweka M pesa atume kijijini-tozo, Kijijini kule-tozo tena.

Mahesabu yakipigwa mtumishi anatumia 30% ya mshahara wake.

Hapo vitu Kama mfumko wa Bei na Makato ya HSLB yapo constant.
 
Vyovyote vile kalemani kaondolewa ili watu wapige hela. Nguzo za zege badala ya miti kutoka afrika kusini na mengine vigogo wanahusika kumng'oa. Ngoja tuone january na wapiga dili wenzake wakineemeka.
Hii serikali ya Royal tour, ukiwa unatetea maslahi ya watanzania hasa wanyonge unakuwa adui yao. Serikali ya ajabu kabisa hii.
 
Tunduma,wananunua mafuta ya petrol na diseli kutoka upande wa Zambia,kwa bei nafuu (ukilinganisha na Bei za upande wa Tanzania,) wakati mafuta yamepita bandari ya Dar es Salaam.
Kumbe ndugu zetu,wanatutesa hawana huruna na sisi Mwenyezi Mungu anawaona.
 
Sasa ni yupi mzalendo,anayeshusha bei za kuweka umeme, anawapa zabuni wazawa na yule anayetuletea tozo za kila aina kila kukichwa, je vipi kuhusu waziri wa Kilimo ambaye ameshindwa kununua mahindi na mbolea kupanda kutoka TZS 60,000 hadi 100,000/= tuache kuwapakazia wazalendo waliojitoa, kama ni mawaziri wabovu wapo wengi tu, nitazidi kumtetetea Kalemani kwa kazi iliyotukuka aliyoifanyia wizara ya Nishati au mnataka akina Prof Mhongo?
 
Vyovyote vile kalemani kaondolewa ili watu wapige hela. Nguzo za zege badala ya miti kutoka afrika kusini na mengine vigogo wanahusika kumng'oa. Ngoja tuone january na wapiga dili wenzake wakineemeka.
Wengi hawalijui hili, wamekazania Sukuma gang.
 
Kwa sasa sijui nichague jua ama mvua ... ngoja tuone muda ni mwalimu. Tutajua kama maamuzi ni kwa faida ama hasara
 
Prof. Mbarawa tunakuomba acha upole, kuwa mkali.
tunakufahamu wewe ni mfuatiliaji mzuri sana ila tatizo una kaupole, wapigaji na wabadhirifu huwa wanapenda sana kusimamiwa na mtu mpole ili wapate namna ya kupiga vizuri.
hivyo tunakuomba ongeza ukali ili miradi isonge kwa kasi.
 
Mkuu:
Tatizo ni kwamba, Waziri ni lazima atokane na wabunge, Rais ana nafasi kumi tu za uteuzi. Na wabunge wengi hawana sifa ya uwaziri.
 
Umesahau kutaja Jambo kubwa;
Kuboresha diplomasia ya kimataifa. Kuna wadhili maslahi zao zimeguswa saaana na maamuzi ya baadhi ya viongozi watenguliwa
 
Hao ndio wahujumu uchumi original sasa, nashangaa Bado wapo uraiani mpaka sasa
 
KAMA ANATATETEA WAZAWA NAO WAAGIZE MAFUTA KIASI UBAYA UKO WAPI?
Wamepewa nafasi mafuta yamepanda bei. Ngozi nyeusi wakat mwingine ni balaa tu. Ila umesoma andiko hata ukaambulia kitu. Ungeokota kitu usingeandika ulichoandika.
 

Hiyo plant ni investment. Inaingiza mapato serikalini. Inacreate ajira. Kuna tatizo gani investment kama hiyo kupelekewa nishati ya umeme?

Kama umeme unapelekwa kwa wananchi ndani ndani kabisa vijijini interior, why uone ni tatizo kupeleka umeme kwenye elution plant iliyoko interior kijijini?

Do NOT misuse your brain.

-Kaveli-
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…