Sababu za Kubadili Jina kwenye Uraia(Birth certificate) wa Tanzania

Sababu za Kubadili Jina kwenye Uraia(Birth certificate) wa Tanzania

PD_Magumba

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2021
Posts
722
Reaction score
2,225
Natanguliza Shukrani kwa jinsi kila mwenye kujua masuala ya sheria ata saidia hili suala.

Mimi siyo mjuzi wa sheria lakini naomba kujua yafuatayo:-

Kuna mtu alipata birth certificate kwa jina lake na wazazi wake (Baba na mama) kama ilivyo Kawaida ya sheria, akiwa na umri wa miaka 20 na majina hayo ndo kayatumia kwenye nyaraka na vyeti mhimu ikiwemo vya kitaaluma.

Alipofikisha umri wa miaka 32 ikabainika kua yule baba ambae amekua akijua ni baba ake mzazi(ambapo ndo jina alilotumia Kama la baba, na babu-Surname) siyo baba ake mzazi na hilo likathibitishwa na mama ake mzazi.

Sasa kijana anahitaji kubadilisha jina la baba na ukoo kwenye birth certificate yake ili liendane na taarifa za baba yake halisi.

Je, inawezekana au haiwezekani? Kama haiwezekani ni kwa sababu zipi na kama inawezekana ni hatia zipi za kufuata?
 
Kama hakuna urithi wa Maana kwa baba yake mzazi aache tu Lakini Kama anafukuzia urithi kwenye ukoo huo basi aende mahakamani akaape kuwa lile ndo jina lake halisi.
 
Kama hakuna urithi wa Maana kwa baba yake mzazi aache tu Lakini Kama anafukuzia urithi kwenye ukoo huo basi aende mahakamani akaape kuwa lile ndo jina lake halisi.
Upo urithi na baba huyo yupo tayari kusaidia chochote
 
Hapo afike mahakamani akabadili Jina, akifika aonane na wahusika awaelekeze shida yake watampa utaratibu.
Je ni kweli kua taarifa za birth certificate haziwezi kubadilishwa baada ya miaka 2?
 
Natanguliza Shukrani kwa jinsi kila mwenye kujua masuala ya sheria ata saidia hili suala.

Mimi siyo mjuzi wa sheria lakini naomba kujua yafuatayo:-

Kuna mtu alipata birth certificate kwa jina lake na wazazi wake (Baba na mama) kama ilivyo Kawaida ya sheria, akiwa na umri wa miaka 20 na majina hayo ndo kayatumia kwenye nyaraka na vyeti mhimu ikiwemo vya kitaaluma.

Alipofikisha umri wa miaka 32 ikabainika kua yule baba ambae amekua akijua ni baba ake mzazi(ambapo ndo jina alilotumia Kama la baba, na babu-Surname) siyo baba ake mzazi na hilo likathibitishwa na mama ake mzazi.

Sasa kijana anahitaji kubadilisha jina la baba na ukoo kwenye birth certificate yake ili liendane na taarifa za baba yake halisi.

Je, inawezekana au haiwezekani? Kama haiwezekani ni kwa sababu zipi na kama inawezekana ni hatia zipi za kufuata?
Wapendwa nipeni ufafanuzi wakuu ninahitaji sana majibu ya hii topic. Au Kama Kuna uzi ulishajibu topics kama hii nipeni link
 
Hii topic ishajadiliwa mara kadhaa kwenye hili jukwa la sheria , jaribu ku search.
Kwa kifupu japo mi si mwanasheria ni kwamba,

Cheti cha kuzaliwa ikishapita 2 yrs tangia kisajiliwe RITA hawahusiki tena na mabadiliko ya chochote kwenye cheti, unatakiwa umwone mwanasheria kwa ushauri nadhani atakuandalia kitu inaitwanga deed poll then itaenda kusajiliwa wizara ya ardhi kwa malipo ya around 35k hiyo nyaraka ndio itatumuka mbadala wa cheti cha kuzaliwa. Wenye taaluma yao watakuja hapa kukujuza zaidi na kurekebisha pale nipo bugi.

ANGALIZO
Vyeti vya taaluma havitabadilika vitabaki kwa majina uliyo tumia kumaliza kidato cha nne unless ulitakiwa kubadili kabla ya kufanya mitihani ya kidato cha pili.

Nakushauri NIDA ibaki na majina yaliyopo kwenye vyeti vyako vya taaluma kama bado hujapata NIDA .
ILA kama hakuna umuhimi sana acha nayo endelea na majina hayo braza cha muhimu tafuta CHAPAAA jombaaa, yangu ndio hayo
 
Hii topic ishajadiliwa mara kadhaa kwenye hili jukwa la sheria , jaribu ku search.
Kwa kifupu japo mi si mwanasheria ni kwamba ,
Cheti cha kuzaliwa ikishapita 2 yrs tangia kisajiliwe RITA hawahusiki tena na mabadiliko ya chochote kwenye cheti, unatakiwa umwone mwanasheria kwa ushauri nadhani atakuandalia kitu inaitwanga deed poll then itaenda kusajiliwa wizara ya ardhi kwa malipo ya around 35k hiyo nyaraka ndio itatumuka mbadala wa cheti cha kuzaliwa. Wenye taaluma yao watakuja hapa kukujuza zaidi na kurekebisha pale nipo bugi.
ANGALIZO
Vyeti vya taaluma havitabadilika vitabaki kwa majina uliyo tumia kumaliza kidato cha nne unless ulitakiwa kubadili kabla ya kufanya mitihani ya kidato cha pili.
Nakushauri NIDA ibaki na majina yaliyopo kwenye vyeti vyako vya taaluma kama bado hujapata NIDA .
ILA kama hakuna umuhimi sana acha nayo endelea na majina hayo braza cha muhimu tafuta CHAPAAA jombaaa, yangu ndio hayo
Ahsante
 
kuna mtu alikua anatumia majina tofauti na aliyosomea na alishafungua details nida je anaweza kufuta na kutumia ambazo zipo katika vyeti vyake
 
kuna mtu alikua anatumia majina tofauti na aliyosomea na alishafungua details nida je anaweza kufuta na kutumia ambazo zipo katika vyeti vyake
Haya yote hata Mimi natamani kupata majibu yake ya kisheria. Mwenye kujua tafadhali
 
Back
Top Bottom