Sababu za kuchelewa kwa ajira za Waalimu

Jamaa ana7bu za ovyo kama magamba

Nadhani mmemuelewa vibaya, alichosema yeye ni kuwa wizara ilikusudia kuwagawa walimu kwenye mikoa minane tu ambayo waliamini ipo nyuma zaidi, lkn matokeo ya form two na four yamewafanya wagundue maeneo mengingine yenye uhitaji kwa hiyo wanalazimika kupanga upya. Ni hayo tu.
 
nyie kauzeni nyanya tu nyie......:glasses-nerdy::glasses-nerdy:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…