Sababu za kukosekana attention ya kutosha suala la kuachiwa kwa Mbowe

Sababu za kukosekana attention ya kutosha suala la kuachiwa kwa Mbowe

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Asilimia kubwa ya waliopo humu JF ni watu wenye IQ kubwa sana. Nilichokiona suala la kuachiwa Mbowe ni suala kubwa na halikwepeki kuchukuwa nafasi kubwa katika media hasa za ndani including hapa JF.

Kiuhalisia humu JF limechukuwa nafasi yake lakini sio kwa kiwango kinachostahili. Kwa mtazamo wangu sababu ni hii:

Great Thinkers wengi humu JF wapo katika uwanja wa vita huko Ukraine wakiendelea na chambuzi na Tathmini. Hivyo attention kubwa ipo huko kwa Putin na Zeleisky.
 
Asilimia kubwa ya waliopo humu JF ni watu wenye IQ kubwa sana. Nilichokiona suala la kuachiwa Mbowe ni suala kubwa na halikwepeki kuchukuwa nafasi kubwa katika media hasa za ndani including hapa JF.
Kiuhalisia humu JF limechukuwa nafasi yake lakini sio kwa kiwango kinachostahili. Kwa mtazamo wangu sababu ni hii:

Great Thinkers wengi humu JF wapo katika uwanja wa vita huko Ukraine wakiendelea na chambuzi na Tathmini. Hivyo attention kubwa ipo huko kwa Putin na Zeleisky.
Tupo humu humu muheshimiwa, ila pia kumbuka haya yote walio wengi waliyatarajia kwani ilipo fika wakati mashahidi wanapatwa na mvurugo wa tumbo, ilikuwa tayari ni dhahiri shahiri , mbio zile za sakafuni walizoanzisha zilikuwa zinaelekea kwenye ukingo, Tena wa lijabali ambalo hata Kwa Bomu la nyuklia wasingeweza lisambaratisha
 
Hakuna jipya movie zilezile actors walewale!
Hii michezo tumeshaizoea,
Ilikuwa ni suala la muda Tu. DPP kuja na utaratibu wake!
 
Wasio na akili watashabikia kesi za kuumba za kina mbowe
 
Asilimia kubwa ya waliopo humu JF ni watu wenye IQ kubwa sana. Nilichokiona suala la kuachiwa Mbowe ni suala kubwa na hah

Muhimu watu tuelewe kuwa Siasa is about attracting peoples mindsets.
Iwapo chama cha siasa kinashindwa kufikia lengo hilo, chama hicho kinapaswa kipiganie nafasi za ububge na udiwani chache lkn si kuchukua nchi.

CCM na SSH wanatambua hili na wanafanya juu chini ili mpinzani wake asifikie lengo hili.

Ili kufikia lengo hili CCM wanatumia mbinu zile zile za kikoloni za wagawe uwatawale.

Kwa mfano kabla ya Uhuru wakoloni waliwagawa watz kwa misingi ya dini.

Baada ya Uhuru watz waligawanywa kwa misingi ya itikadi. Itikadi ni hali ya kuwalisha na kuwabadilisha umma wako wawe wagonjwa.
It create a community of sick people.

Ndio watu wana msemo wao; Every ideology need theology to make it legal.

Ngoja nitoe mifano michache ili nieleweke vema.

Wakati Fulani kulikuwa na akina ngangari..... Nakumbuka tukio LA mwisho kubwa lilowaacha wakazi wa dar midomo wazi ni tukio la Mwenyekiti huyu kuteuliwa na kuwa mjumbe wa kamati ya uchumi ya UN na mshauri wa uchumi wa imf kwa nchi zaidi ya 10 afrika alifanyiwa mapokezi had I uwanja wa ndege ulitema.

kuna matukio ya viongozi wengine kushitakiwa. Lkn tofauti na Mbowe, hao wengine kesi zao ziliwekewa zuio la kutoruhusiwa raia kusikiliza shauri. Kesi kama ya Sheikh ponda na mashelhe wa uamsho.

Serikali ikiogopa kutoa attention ambayo iliyarajiwa kuonyeshwa na wakazi wa dar.

Sasa ndugu zangu chadema hawajatambua hilo. Kesi ya mbowe inatajwa wanaosikiliza ni vijana wageni wa dar.

Hivyo sababu kubwa iliyofanya mbowe kukosa attention kote kote ni kwasababu chadema haina imekosa mbinu na inashindwa kuwavutia wakazi wa pwani ya tz ambao ndio wanaoweza kusimamisha nchi kwa masaa kadhaa
 
Mtaje great thinker mmoja ambaye hajazungumzia kuachiliwa kwa Mbowe
Asilimia kubwa ya waliopo humu JF ni watu wenye IQ kubwa sana. Nilichokiona suala la kuachiwa Mbowe ni suala kubwa na halikwepeki kuchukuwa nafasi kubwa katika media hasa za ndani including hapa JF.

Kiuhalisia humu JF limechukuwa nafasi yake lakini sio kwa kiwango kinachostahili. Kwa mtazamo wangu sababu ni hii:

Great Thinkers wengi humu JF wapo katika uwanja wa vita huko Ukraine wakiendelea na chambuzi na Tathmini. Hivyo attention kubwa ipo huko kwa Putin na Zeleisky.
 
Back
Top Bottom