x - mas JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 931 Reaction score 612 Jul 24, 2015 #1 habari jamvini!mitetea yangu mitano baada ya Kuwanyang'anya mayai na kumpa kuku mmoja alalie hawa walio baki hawajataga tena sasa yapata wiki nne kasoro,inanichanganya sana,
habari jamvini!mitetea yangu mitano baada ya Kuwanyang'anya mayai na kumpa kuku mmoja alalie hawa walio baki hawajataga tena sasa yapata wiki nne kasoro,inanichanganya sana,
Ngamba JF-Expert Member Joined Jun 6, 2013 Posts 750 Reaction score 151 Jul 24, 2015 #2 hio ni kawaida tu kwani huchukua week 3 au 4 ndo waanze tena kutaga, so kuwa mvumilivu kidogo ndungu usiwe na haraka
hio ni kawaida tu kwani huchukua week 3 au 4 ndo waanze tena kutaga, so kuwa mvumilivu kidogo ndungu usiwe na haraka