Einstein
Senior Member
- Dec 5, 2009
- 121
- 26
- Thread starter
-
- #21
Thanks to my fate I am not in that hellhole called India. Na siwezi kumpeleka ndugu yangu asome huko.
Wahindi wenyewe tunawaona wanakimbilia viwanja vikubwa huku kusoma, sasa kwa nini ( apart from the obvious financial reasons) na sie tukimbilie India.
In my opinion, tujenge vyuo vikubwa bongo na tuviwezeshe kutoa a world class education kwa gharama nafuu kwa wanafunzi wengi, utaona wahindi wengine watakuja kutoka India kusoma bongo instead of Watanzania kwenda kusoma India.
Kile chuo cha Dodoma kinachukua watu wa ngapi? Tunahitaji vyuo kama hivi vifunguliwe all over Tanzania, kila zone/ mkoa inakuwa na chuo kikubwa tu.Tutaondoa huu utumbo wa kwenda India kubangaiza au hata ku endure hii highway robberry ya vyuo vya Marekani na Uingereza.
That is a Good point!
Sasa ni nani atakaejenga vyuo?? Vyuo vinajengwa kisiasa. Mtu anajenga chuo kikuu, huku akimulika ni kwa kiwango gani atashinda uchaguzi wa 2010, 2015 ..... badala ya kuangalia ni watu wangapi watakuwa wameelimika, baada ya miaka minne ijayo! Shame on Tanzanian leaders..
Tunawaponda wahindi, lakini kiuhalisia wanatuzidi mpaka sasa! Sisi tunaendekeza ufisadi, shule za kata kata elimu, urasimu, undugunization, urafiki-nization kwenye maofisi na taasisi zingine. Mie naamini Tanzania haitaendelea hata siku moja, UNLESS, atokee dikteta mtakatifu!!!