Sababu za kwanini MaT.O (Tanzania one) hawafanikiwi kimaisha!?

Kadoda11 ya kwer haya jaman.... Akija hapa usije kukimbia mzee baba....

Kiranga
nataka aje... ninajua namna ya kumdhibiti.

haitokuwa mara yangu ya kwanza "kumshughulikia"...kumbukumbu zangu za ''nyuma'' bado anazo.

kama namuona vile anavyosoma post zangu kimya kimya huku kakunja ndita kwa hasira. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ah ah ah ah ah mpe uhuru bass shida kadoda umembana sana kiranga mwachie kidogo

Kiranga
 
Ila kadoda11 wewe ni kiboko yaani umemdhibiti yule ndugu yake na shetani ipasavyo.

Nakutunuku hati ya udhibiti wa kijeshi na kipolisi uliotukuka. Asanteni!
shukrani sana. ila kwa huzuni kubwa naomba niachane na thread hii.

nimetumiwa PM na baadhi ya wadau wangu ninaoheshimiana nao sana kule KenyaForum.

wameniomba nisiendelee kukomenti. asanteni kwa ushirikiano wenu.
 
Lengo la huu Uzi ulikuwa ni Mimi na mtani wangu wa muda mrefu engineer majalala kubadilishana uzoefu na kupima uwezo kitaaluma ila mkuu mmoja kahuaribu kwa kudandia treni kwa mbele na mtani wangu kunikimbia na kuingia mitini jumla hivyo mission yangu haijafanikiwa kwa uzuri wa kutosha.

Wewe CCNP Engineer mpambano bado haujaisha nitakufuata hata huko saloon unakozoaga nywele au kwa mhindi kwa wale jamaa zako wenye mavitovu kama lile la kutafuta stesheni ya redio Mbao za zamani.

Msukule mwenzangu wewe. [emoji16][emoji16]
 
Anamfukuzia d.c lzm ajitambe na kuonyesha manjonjo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mamaeee
 
Kiranga [emoji23] [emoji23]
 
Nashukuru umeninyooshea engineer uchwara kwa kujitapa na AAA wakt kina mark aliacha Harvard akaanzsha Facebook. Now wa tatu kwa utajiri duniani. Japo now yupo kwenye misukosuko, AAA bila hela ni bora CCC zenye mkwanja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…