NI MTAZAMO TU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,203
- 999
MAMBO yanayosababisha baadhi ya makundi ya whasapp kufa. (Inaweza ikawauma wengine lakini ndio ukweli)
[emoji129][emoji130]
1. Mtu anaweza akatoa mada na hakuna mtu akachangia na wakati huo huo mtu mwingine akatoa wazo watu wakachangia faster. Je kuna watu wana umuhimu kuliko watu wengine?
[emoji130][emoji129]
2. Kutokujibu salamu hasa hasa pale aliyetoa siyo rafiki yako. ....ubaguzi!
[emoji129][emoji130]
3. Baadhi ya watu katika kundi hujifanya ni zaidi ya wengine hata kudharau wengine.
[emoji130][emoji129]
4. Baadhi ya watu katika kundi ni viburi na wajivuni...wapo katika kundi lakini hawachangii wala kuunga mkono na wakati wao wakisema jambo, wanataka wengine wote kukubaliana na maoni yao.
[emoji129][emoji130]
5. Baadhi ya watu hawachangii jambo lolote la msingi isipokuwa vichekesho na vituko tu!
[emoji130][emoji129]
6. Baadhi ya watu hawajui jinsi ya kuzungumza.
[emoji129][emoji130]
7. Baadhi ya watu wanapapara na rikaka...hawatulizi bolu
[emoji127][emoji130]
8.Wengine hawachangii chochote ila kazi yao ni kuja na mitazamo hasi tu.
9. Baadhi ya wanachama wapo wapo tu yaani kama wasimamia au kutazama mechi ya mpira wa miguu.
[emoji128][emoji127][emoji128] [emoji128][emoji127][emoji128]
Naomba Mungu alilinde kundi hili kwa kuwabadilisha wenye tabia hizi... AMEN
[emoji129][emoji130]
1. Mtu anaweza akatoa mada na hakuna mtu akachangia na wakati huo huo mtu mwingine akatoa wazo watu wakachangia faster. Je kuna watu wana umuhimu kuliko watu wengine?
[emoji130][emoji129]
2. Kutokujibu salamu hasa hasa pale aliyetoa siyo rafiki yako. ....ubaguzi!
[emoji129][emoji130]
3. Baadhi ya watu katika kundi hujifanya ni zaidi ya wengine hata kudharau wengine.
[emoji130][emoji129]
4. Baadhi ya watu katika kundi ni viburi na wajivuni...wapo katika kundi lakini hawachangii wala kuunga mkono na wakati wao wakisema jambo, wanataka wengine wote kukubaliana na maoni yao.
[emoji129][emoji130]
5. Baadhi ya watu hawachangii jambo lolote la msingi isipokuwa vichekesho na vituko tu!
[emoji130][emoji129]
6. Baadhi ya watu hawajui jinsi ya kuzungumza.
[emoji129][emoji130]
7. Baadhi ya watu wanapapara na rikaka...hawatulizi bolu
[emoji127][emoji130]
8.Wengine hawachangii chochote ila kazi yao ni kuja na mitazamo hasi tu.
9. Baadhi ya wanachama wapo wapo tu yaani kama wasimamia au kutazama mechi ya mpira wa miguu.
[emoji128][emoji127][emoji128] [emoji128][emoji127][emoji128]
Naomba Mungu alilinde kundi hili kwa kuwabadilisha wenye tabia hizi... AMEN