Sababu za Mkwasa kuaminika mapema

Sababu za Mkwasa kuaminika mapema

Mzingo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2014
Posts
4,729
Reaction score
10,500
Kwa kawaida wachezaji wakiwa hawampendi kocha,hamasa ya uchezaji hupungua.

Anapokuja kocha mpya,hata akiwa mchovu au wa kawaida,wachezaji hucheza kwa kujituma ili ku-mprove wrong aliyepita.

Baada ya Mechi kadhaa timu hurudi kwenye hali yake ya kawaida(ya uchovu).

NINALIA NA KWANINI KIM POULSEN ALIONDOLEWA NA TFF
 
Back
Top Bottom