Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Sijawai kukasirika na siwezi kukukasirikia wewe😉Jaman, usikasirike bhana
ok🤭 Sorry
Hapa ndipo feminist mnapofeli mnalazimisha jinsia zote mbili zihukumumiwe kwa kigezo kimoja kitu ambacho hakiwezekani.Penye single maza kuna single faza walioshindwa kutimiza majukumu Yao
Hebu ongelea pia ongezeko la single faza sio kila siku kina maza tu
Kwanini nyie wanaume msizae na wanawake ambao wanawafaaa katika tabia ....mawazo ...mwenye uelewa kama wako ili tupunguze hili tatizoSalaam,
Miaka ya karibuni, kuna ongezeko kubwa la single maza mtaani. Single maza, kwa sasa ni janga linalotishia ustawi wa jamii bora.
Zifuatazo, ni sababu za ongezeko kubwa la single maza:
1.MALEZI MABOVU
Wazazi/walezi, kutowajibika vyema ktk malezi, kumewafanya mabinti, kukosa msingi mzuri wa kuzikabili changamoto. Jambo ambalo hupelekea wao kuishia kua single maza.
2.TAMAA YA PESA
Imewafanya mabinti, wawe ktk mahusiano na mtu wa aina yoyote bila kujali upendo, alimradi apate atakacho. Jambo ambalo hupelekea, wao kuishia kua single maza.
3.UTANDAWAZI
Umewafanya mabinti, waige na kujaribu tabia mpya, ambazo hupelekea wao kuishia kua single maza.
Kama jamii, ipi ni njia sahihi ya kulidhibiti/kulipunguza janga la single maza?
Na wanaume wawajibike kwa watu wao waliowapa mimba asilaumiwe mmoja...BTW mimi sio feministHapa ndipo feminist mnapofeli mnalazimisha jinsia zote mbili zihukumumiwe kwa kigezo kimoja kitu ambacho hakiwezekani.
Leo mwanamke hata ukiwa masikini unajiona una haki ya kupendwa na mwanaume tena utaweka standard za juu kwa mwanaume unaemtaka lakini vipi mwanaume akiwa masikini? anaonekana useless asiye na haki ya kupendwa na mwanamke, hii ni kwa sababu hizi jinsia mbili zinahukumiwa kwa vigezo tofauti.
Ndivyo ilivyo kwenye single parent pia, haina shida kwenye profile ya mwanaume lakini kwenye profile ya mwanamke ni red flag kubwa sana
🙏✌️Sijawai kukasirika na siwezi kukukasirikia wewe😉
Tunatakiwa kuwa wakali kidogo kwenye mlezi ya mabinti zetu. Nakumbuka miaka iyo nasoma olevel ikigundulika binti kapewa mimba anafukuzwa nyumbani aende kwa aliempa iyo mimba, hukumu katili kama hizi zilisaidia sana kuwapa warning sign watoto wa kike.Hiyo ni sahihi mkuu lakini vipi kuhusu wanaume wanaolaghai mabinti kihisia halafu wanawatelekeza baada ya mimba?
Shida ni kwamba mwanamke ndie anaekutana na izo consequences, hauwezi kusubiri kila upande uwajibishwe katika jambo ambalo wewe ni victim. Hapa hekima ni kujilinda kwanza wewe mwenyeweNa wanaume wawajibike kwa watu wao waliowapa mimba asilaumiwe mmoja...BTW mimi sio feminist
Lengo la mada, si kuwasimanga single maza, bali ni kutafuta suluhu ya changamoto hii mkuu.Penye single maza kuna single faza walioshindwa kutimiza majukumu Yao
Hebu ongelea pia ongezeko la single faza sio kila siku kina maza tu
Suluhu ianzie kwa wanaume wanaotelekeza hawa single mazaLengo la mada, si kuwasimanga single maza, bali ni kutafuta suluhu ya changamoto hii mkuu.
Hapana mkuu, tuanzie ktk malezi. Tukiwapa malezi bora binti zetu, na tukawafunza madhara ya kua single maza kabla ya ndoa, nadhani tunaweza punguza tatizo.Suluhu ianzie kwa wanaume wanaotelekeza hawa single maza
Huwezi lidhibiti hili jambo,... achana naloYapi maoni yako ktk kulidhibiti janga hili.
Sio binti tu hata vijana wa kiume wanastahili maleziHapana mkuu, tuanzie ktk malezi. Tukiwapa malezi bora binti zetu, na tukawafunza madhara ya kua single maza kabla ya ndoa, nadhani tunaweza punguza tatizo.
Upo sahih mkuu.Sio binti tu hata vijana wa kiume wanastahili malezi