Sababu za Serikali ya Kenya chini ya Kenyata kumuacha Odinga ajiapishe (mtego)

Idd Ninga

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2012
Posts
5,497
Reaction score
4,775
Baada ya serikali ya Kenya kupanga wanausalama katika uwanja wa uhuru,palishuhudia umati mkubwa wa watu wakiingia uwanjani na uwanja kujaa kabla ya Odinga kuingia na lengo kubwa la wanausalama hao ni kudeal na muhalifu namba moja ambae ni Odinga hivyo waliamua kubadili mchezo na kumuacha kwa Odinga ajiapishe na hapo waliweka mtengo mwingine ambao kijanja kabisa odinga aliiruka kwa siku ya jana.
mtego wenyewe ulikuwa ni kusubiri msafara wa Raila kuelekea ikulu kwani kama angefanya hivyo basi wanausalama walikuwa wanaenda kumaliza game mapema kabisa kabla ya raila kuisogelea ikulu ya kenya.
mtego wa pili ambao umetegwa tayari ni kutangaza muungano huo kuwa wa kihalifu hivyo kinachofanyika sasa ni maandalizi ya kupambana na wahalifu hao na iwapo umakini hautofanyika odinga na kundi lake wataingia ktk mtego kama ule wa makundi ya mangiki ama al shabab.
mtego wa tatu unaosubiriwa kwa hamu ni kumuona odinga anatangaza serikali yake hali itakayoiruhusu serikali ya kenya kutangaza uongozi mzima wa kundi la wahalifu
 
ndio lakini hakuna nchi bila watu na hakuna watu bila ya nchi.
hao watu atakaowaongoza lazima wawe na serikali yao.
ikiwa na maana bunge,usalama yani jeshi kwa ujumla na mahakama.
iwapo itatokea akajichanganya na kuunda baraza la mawaziri ama kutangaza mkuu wake wa majeshi atakuwa tayari amejitangaza kuwa yeye ni muhaini hivyo ataipa nguvu serikali ya kenya kupambana nae kwa njia yoyote ile ili kuzima serikali yake.
kingine bila ya kujalisha yeye ni raisi wa watu gani,lazima raisi awe na ikulu na endapo atajitangazia state house yake lazima ajiandae kuingia ktk mikono ya sheria.
labda abaki kuwa raisi kama alivyo madee rais wa manzese lakini asijidanganye kuwa ataenda ktk mamlaka za kimaifa na kujitangaza kuwa rais na serikali ikamtazama.
 
Aiseee hii ni bonge moja la movie ngoja nikae vizuri niiangalie nione mwisho wake utakuwaje
 
Rais wa Kenya Mh: Kenyatta ametumia akili kubwa sana, yaani ingekuwa ni kiongozi ambaye hana uadilifu na hapendi watu wake, ambacho kingetokea jana kingekua historia
 
kabisa,sa hizi tungekuwa tunapokea wakimbizi,ama kwenda kenya kufanya usuluhishi
 
kabisa,sa hizi tungekuwa tunapokea wakimbizi,ama kwenda kenya kufanya usuluhishi
Umewaza mbali sana,ingekuwa pande hii nahisi dunia nzima vituo vya television vyote vingekuwa vinamulika hapa jinsi machela zinavyosomba watu kuelekewa Muhimbili
 
LAKINI YEYE HAJAJIAPISHA, AMEAPISHWA

HAJAAPISHWA KUWA RAIS WA NCHI AU JAMHURI, ILA RAIS WA WANANCH.

KATIBA INASEMAJE?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…