The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
.Miaka 18-20 Anasoma ata hbr za ndoa Bado akiambiwa atakuambia unataka kukatisha ndoto zake.
Lkn ana boyfriend ambae wapo kwenye mahusiano.
Miaka 21-27
Hapa Binti wa moto kweli,kila mwanaume anamuitaji.
Muowajihi
Mzinifu
Mume wa mtu
Sugar daddy
Walimu wa Chuo nk.
Hapo Binti anajichagulia SAMAKI alienona,hapo ana grade wanaume kwa KIPATO,urefu, handsome,anaejua burudani vzr,huu ni umri ambao wengi wa mabinti ukimuambia ndoa anaisi kama wewe mgojwa wa akili,wa umri huu wengi wanatafuta waume wa kukidhi maitaji Yao ,hawaangali dini,tabia Wala dini kikubwa anajitoa Sadaka kwa ili akidhi haja zake.
Miaka 28-32
Anaitaji ndoa lakini sio uke wenza.
Lakini sio wote naongelea asilimia kubwa kama 96 ndivyo walivyo.
Sasa ktk mapito yote hayo mpaka afike miaka hiyo 32 hajaolewa,hapo wanagawanyika Sasa ktk makundi matatu.
KUNDI la kwanza
Walipata ajali kzn ,wanawatoto na wasababishaji wa kupatikana hao watoto wamekimbia majukumu.
Hapo yupo tayari uke wenza ili apate malezi ya mwanae japo sio wote.
KUNDI la pili.
Washaishi na wanaume bila ndoa Tena zaidi ya mwanaume Moja,ukimuowa huyo ndio wale mume wangu ana kibamia nk.
KUNDI la tatu
Hawa yote wamepitia,MIMBA washatoa sana,baadhi wana watoto,na baadhi hawana watoto kbsa na kizazi kime kwanguliwa ata awezi kubeba ujauzito Tena.
Baadhi wanaajira na baadhi ndio hao ukiungwa nae TU anahamishia matatizo yake yote kwako.
Nasaha yangu sio kuwa dhalilisha Bali ni kuwaambia ambao Bado hawajaharibikiwa wachukue hatua stahiki,na walioharibikiwa wajifunze kutokana na makosa,shida ujumbe huu ukikugusa tutakujua kwenye comment.
Tunasubiria kuona mapovu .
Lkn ana boyfriend ambae wapo kwenye mahusiano.
Miaka 21-27
Hapa Binti wa moto kweli,kila mwanaume anamuitaji.
Muowajihi
Mzinifu
Mume wa mtu
Sugar daddy
Walimu wa Chuo nk.
Hapo Binti anajichagulia SAMAKI alienona,hapo ana grade wanaume kwa KIPATO,urefu, handsome,anaejua burudani vzr,huu ni umri ambao wengi wa mabinti ukimuambia ndoa anaisi kama wewe mgojwa wa akili,wa umri huu wengi wanatafuta waume wa kukidhi maitaji Yao ,hawaangali dini,tabia Wala dini kikubwa anajitoa Sadaka kwa ili akidhi haja zake.
Miaka 28-32
Anaitaji ndoa lakini sio uke wenza.
Lakini sio wote naongelea asilimia kubwa kama 96 ndivyo walivyo.
Sasa ktk mapito yote hayo mpaka afike miaka hiyo 32 hajaolewa,hapo wanagawanyika Sasa ktk makundi matatu.
KUNDI la kwanza
Walipata ajali kzn ,wanawatoto na wasababishaji wa kupatikana hao watoto wamekimbia majukumu.
Hapo yupo tayari uke wenza ili apate malezi ya mwanae japo sio wote.
KUNDI la pili.
Washaishi na wanaume bila ndoa Tena zaidi ya mwanaume Moja,ukimuowa huyo ndio wale mume wangu ana kibamia nk.
KUNDI la tatu
Hawa yote wamepitia,MIMBA washatoa sana,baadhi wana watoto,na baadhi hawana watoto kbsa na kizazi kime kwanguliwa ata awezi kubeba ujauzito Tena.
Baadhi wanaajira na baadhi ndio hao ukiungwa nae TU anahamishia matatizo yake yote kwako.
Nasaha yangu sio kuwa dhalilisha Bali ni kuwaambia ambao Bado hawajaharibikiwa wachukue hatua stahiki,na walioharibikiwa wajifunze kutokana na makosa,shida ujumbe huu ukikugusa tutakujua kwenye comment.
Tunasubiria kuona mapovu .