Sababu za wadada kupiga picha za utamu

brigedia mafia

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2016
Posts
2,260
Reaction score
2,279
Habari wana jamvi? Natumai wote mu wazima leo nataka tujadiliane kuhusu hawa dada zetu kwa nini wanapenda kupiga picha zisizo na maadili

/ATTACH]
 

Attachments

  • 1472685283233.png
    86.7 KB · Views: 702
Nawapenda xn coz hutibu matatizo yng
Ila hao mipaja mibaya
Weka ya wale mademu wakali
 
Nikiwaonaga huwa natapika sanaaa, ningetamani wagongwe tu,ila kwa Hapa kazi tu watashika adabu,hawampati mtu
 
Homoni za ulimbukeni .....kujichetua......wehu zinakuwa zipo juu sana kuzidi kiwango zinatakiwa.......so huwa wanakuwa hata hawaelewi kuwa wanafanya hayo maswala......ila yote ni maisha maana kuna watu wanahitaji hizo huduma kwa kujichua........kupatia hamu ya kufanya ngono.......kurudishia hisia ....na hata kuboost nguvu za kiume........sasa but yote kwa yote kama unapanga kuja kujiheshimu siku zijazo usifanye hii michezo maana utakuja kuona watu ni wabaya kutumia picha zako kipindi unataka kujiheshimu.......
 
Maadili yanahusika wadau,ado ado na hizo picha!Ingawa hata mimi binafsi sijui kwani mambo haya yanafanywa hata na wake za watu,sasa sijui lengo lao ni nini,labda waje wenyewe watufafanulie.
 
Maadili yanahusika wadau,ado ado na hizo picha!Ingawa hata mimi binafsi sijui kwani mambo haya yanafanywa hata na wake za watu,sasa sijui lengo lao ni nini,labda waje wenyewe watufafanulie.
wamejificha hawataki kujitokeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…