Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
Unazunungumzia hizi?Umeshaona mjengo wa Joti/Masanja?
Nikajua utacompare na mjengo wako kumbe kina 50 cent?! Nigga?!!!Unazunungumzia hizi?
View attachment 1247768
View attachment 1247769
Je ukiona za kina 50 cent ,Dr Dre?
View attachment 1247777
View attachment 1247779
Vitu vingine vinachekesha kwakweli Harmonize net worth according to source mbalimbali ni Dollar 2 million..lakini milioni 500 ambazo ni sawa na dollar zisizozidi 300k zimemtoa jasho..hizi drama hizi
Mimi sio msanii mkuu,ningekuwa msanii ningemiliki Mansion ikiwa imetaga kwenye eneo si chini ya ekari 15 zikiwa zimezungukwa na electric fense na camera kama zote.Nikajua utacompare na mjengo wako kumbe kina 50 cent?! Nigga?!!!
Hivi utalinganisha Tz na USA kweli?Unazunungumzia hizi?
View attachment 1247768
View attachment 1247769
Je ukiona za kina 50 cent ,Dr Dre?
View attachment 1247777
View attachment 1247779
Mkuu hata kama ni dis sio hivyo, wapo kina NavyKenzo, Masanja na wengine. Sema hawana show off za nyumba zao. Au wewe ulitaka wawe na Mijengo ya namna gani!!kwa wasanii wa bongo sijaona mwenye mjengo wa maana wote wana mapagale tu.
Net worth hua ina include both liquid cash na fixed assets sasa yaweza kuta hizo fixed assets ndo zimefikia USD 2 Mil ila liquid cash ni Tshs 120,000,000jaluo jr
Vitu vingine vinachekesha kwakweli Harmonize net worth according to source mbalimbali ni Dollar 2 million..lakini milioni 500 ambazo ni sawa na dollar zisizozidi 300k zimemtoa jasho..hizi drama hizi
Mbona viongozi wetu huwa wanalinganisha? Haujawahi kuwasikia wakisema hata USA au UK nao wanaface hizi issue.Hivi utalinganisha Tz na USA kweli?
Nazungumzia level za wasanii,kina navy kenzo kiwanja chao hata sqm 600 hakifiki,ukija cha diamond cha madale ndio vile vile tu hakizidi hata sqm 900,msanii inatakiwa uwe hamna hamna kiwanja ekari nne,wawekeze kwenye mijengo mtu akipita akiona mjengo lazima ajiulize mjengo wa nani ule,ila mijengo ya wasanii wa bongo wote ni ya kawaida hata ney wa mitego mjengo wake wa chini ni wa kawaida sana,wasanii nawashauri wawe na maeneo makubwa,wengi wamejenga kwenye viwanja medium au high density tena skwata,wachache sana kama kina joti,mpoki,masanja wamejenga vya kupimwa(Tena walipewa na manji,vingine walikopeshwa na NHC) lakini wasanii wengine wote wamejenga kwenye skwata tena viwanja vidogo vidogo tu havizidi sqm 900.Mkuu hata kama ni dis sio hivyo, wapo kina NavyKenzo, Masanja na wengine. Sema hawana show off za nyumba zao. Au wewe ulitaka wawe na Mijengo ya namna gani!!
Nazungumzia level za wasanii,kina navy kenzo kiwanja chao hata sqm 600 hakifiki,ukija cha diamond cha madale ndio vile vile tu hakizidi hata sqm 900,msanii inatakiwa uwe hamna hamna kiwanja ekari nne,wawekeze kwenye mijengo mtu akipita akiona mjengo lazima ajiulize mjengo wa nani ule,ila mijengo ya wasanii wa bongo wote ni ya kawaida hata ney wa mitego mjengo wake wa chini ni wa kawaida sana,wasanii nawashauri wawe na maeneo makubwa,wengi wamejenga kwenye viwanja medium au high density tena skwata,wachache sana kama kina joti,mpoki,masanja wamejenga vya kupimwa(Tena walipewa na manji,vingine walikopeshwa na NHC) lakini wasanii wengine wote wamejenga kwenye skwata tena viwanja vidogo vidogo tu havizidi sqm 900.
We inaonekana mbeya Sana,una fikra za kitumwa kichwani kwako!!unawapangia wenzako jinsi ya kujenga je ww umejenga?Nazungumzia level za wasanii,kina navy kenzo kiwanja chao hata sqm 600 hakifiki,ukija cha diamond cha madale ndio vile vile tu hakizidi hata sqm 900,msanii inatakiwa uwe hamna hamna kiwanja ekari nne,wawekeze kwenye mijengo mtu akipita akiona mjengo lazima ajiulize mjengo wa nani ule,ila mijengo ya wasanii wa bongo wote ni ya kawaida hata ney wa mitego mjengo wake wa chini ni wa kawaida sana,wasanii nawashauri wawe na maeneo makubwa,wengi wamejenga kwenye viwanja medium au high density tena skwata,wachache sana kama kina joti,mpoki,masanja wamejenga vya kupimwa(Tena walipewa na manji,vingine walikopeshwa na NHC) lakini wasanii wengine wote wamejenga kwenye skwata tena viwanja vidogo vidogo tu havizidi sqm 900.
Hebu basi tulinganishe wakwetu na wanajirani zetu hapo Uganda!!!
View attachment 1314665
huu ni wivu wa kike.Kumuaandaa mtu wa kumshusha diamoney sio sport sport,,lazma pesa iwekezwe ya kutosha
Sasa hapo kuna wadau wamemwaga pesa zao alafu siku akitaka kusepa eti asepe tu kizembezembe,,
Ndo hapo sasa nyumba zote kauza itabidi atoe tako
Nazungumzia level za wasanii,kina navy kenzo kiwanja chao hata sqm 600 hakifiki,ukija cha diamond cha madale ndio vile vile tu hakizidi hata sqm 900,msanii inatakiwa uwe hamna hamna kiwanja ekari nne,wawekeze kwenye mijengo mtu akipita akiona mjengo lazima ajiulize mjengo wa nani ule,ila mijengo ya wasanii wa bongo wote ni ya kawaida hata ney wa mitego mjengo wake wa chini ni wa kawaida sana,wasanii nawashauri wawe na maeneo makubwa,wengi wamejenga kwenye viwanja medium au high density tena skwata,wachache sana kama kina joti,mpoki,masanja wamejenga vya kupimwa(Tena walipewa na manji,vingine walikopeshwa na NHC) lakini wasanii wengine wote wamejenga kwenye skwata tena viwanja vidogo vidogo tu havizidi sqm 900.
Kwanini sasa usiwe msanii uwoni ni ujinga wako?Mimi sio msanii mkuu,ningekuwa msanii ningemiliki Mansion ikiwa imetaga kwenye eneo si chini ya ekari 15 zikiwa zimezungukwa na electric fense na camera kama zote.
Imenikumbusha ya marehemu KANUMBA.Ukweli wa msanii siku akifa tu ndio utaujua.