Sababu za wanaume kupenda nyumba ndogo.


Wakuu,
Kumbe wivu ni sababu nyingine. Lol
 
Halafu wakuu pia msisahau hawa dada zetu nao kama ni wa magomeni au tandale kwa mtogole au kinondoni pia si wachoyo,,,,mitandao yote unapata bila wasiwasi......wakati ukiwa nyumbani mitandao kama ya tigo network zinakua hazipatikani.

Mkuu,
Naunga mkono hoja 95%.wadada Wengi wa pale kino sio wachoyo wa kutoa mitandao yote na huduma zao ni safi sana. Lol
 
Ni tamaa tu zinasumbua
hizo sababu hazina msingi hata kidogo.
Hivi wewe kama unaujua huo utundu kwa nn usishee na wife ,.

tatizo huo u2ndu ulikuwepo kabla hajaolewa ila akiolewa maujuzi yanaondoka.
 
Wapo na wanawake waliopo ktk ndoa wanakwenda na wakati na wamekaa kinyegest na waume zao bado wenda small house hiyo ni hulka iso dawa na uzinzi juu yake.
 

Mkuu,
Me nadhani ze problem sio kupenda kuonja bali ni kuondoka kwa maujuzi ulokuwa unapewa kipindi hamjaoana
 

Wewe unafikiri ukimgeuza kama mkeo na kuanza kutaka tendo la ndoa free bado ataku-treat namna hiyo. Hizi treatment unazipata kwa sababu anajua baada ya mchezo unamwachia kitu kidogo na asipofanya cha zaidi atakupoteza na hivyo project yake inayompatia fedha itakufa. Kama nabisha nenda nyumba ndogo mara mbili tu bila kuacha kitu kama unavyofanya kwa mkeo then mara ya tatu umwambie sweetie nakuja ila sina chocho usikie atakwambia nini?
 
Wapo na wanawake waliopo ktk ndoa wanakwenda na wakati na wamekaa kinyegest na waume zao bado wenda small house hiyo ni hulka iso dawa na uzinzi juu yake.

Mkuu,
Kama wapo wa aina hiyo basi knw familia ina problm or amekunyegesha wewe. Lol
 

umenena mkuu.
 
muda wowote ukitaka unapewa, hawasemi niache nimechoka
 
habari yake mpango wa kando bana
namtafuta ndugu yangu Asprin, mara ya mwisho alionekana eneo la majohe gongo la mboto.!
 
Ila jamani madada wa benki walioolewa wanatoa penzi taam sana nje ya ndoa, mliokula mnasemaje?

mkuu unamaanisha nini hapa? sijakupata kwa utuo mpwa dadavua tukuelewe
 
Mkuu ni kweli kabisa, na nyumba ndogo hasa iwe mke mdogo kuliko mwenzake,
chuchu zimesimama, ukizitizama huna hali unataka kuramba hapo unasahau
nyumba kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…