Sababu zangu kuacha kunywa Coco cola

Sababu zangu kuacha kunywa Coco cola

Lastname

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
921
Reaction score
297
Naomba usikilize tangazo lao linavyotuzalilisha waafrica, linaonesha kuwa wakati dunia nzima inahangaika kushughurikia mambo ya muhimu Africa tuna-party na coca cola. Lile tangazo huwa nakasirika sana sijui kwa nini hawali ban wanaohusika.
 
Naomba usikilize tangazo lao linavyotuzalilisha waafrica, linaonesha kuwa wakati dunia nzima inahangaika kushughurikia mambo ya muhimu Africa tuna-party na coca cola. Lile tangazo huwa nakasirika sana sijui kwa nini hawali ban wanaohusika.
Nilidhani ni mimi tu ndio naliona hili tangazo linavyotufedhehesha waafrika,Nimejiuliza hivi hawa waliotengeneza hili tangazo kama hawakuliona ili au walifanya makusudi kututukana....
 
Mwanangu analipenda sana, likiimbwa tu anadakia kiitikio kiitwacho i love you Africa, i love you Africa aaaaaaaaaaaaaaaaa i love you Africa i love you eeeeee
 
Huajua utamu wa coca cola barrrriiiidddiiii, na sahani ya wali kuku!! Weeeee wacha ... Kwani linaudhi kuliko yale ya kondom? Na always! Tuko wangapi " bora lile hamia airtel"
 
Cokakola na majuisi ya azam ni kichocheo kikubwa cha kisukari miongoni mwa jamii yetu!
 
sure limeonyesha jinsi gani africa hatuwazi maendeleo
 
Sijaona relationship kati ya tangazo na kinywaji. Mi hilo tangazo ata silijui!
Vipi umeacha coca-cola tu au products zote za coca-cola?
 
lile la tuko wangapi ndo linanikera balaa....linafundisha nn??
 
La-tupo wangapi linafundisha kuacha nyumba ndogo
 
Kweli asee mie kwa siku napiga si chini ya coke 4 nimejaribu kunywa juic ili niache coke bt nimeshindwa,hata nikinywa juice kiu ya coke iko palepale!
Huajua utamu wa coca cola barrrriiiidddiiii, na sahani ya wali kuku!! Weeeee wacha ... Kwani linaudhi kuliko yale ya kondom? Na always! Tuko wangapi " bora lile hamia airtel"
 
Sijaona relationship kati ya tangazo na kinywaji. Mi hilo tangazo ata silijui!
Vipi umeacha coca-cola tu au products zote za coca-cola?

product zao zote, nanywa pepsi kama nataka sumu. Maana zote hizo ni sumu tu
 
Unanishangaza usiyependa tangazo la tuko wangapi au umewapanga so linapokukumbusha unazidi lichukia ukweli utabaki palepale tulia na m 1 au unasababu zp labda
 
Back
Top Bottom