AFYACHAP
New Member
- Aug 16, 2024
- 1
- 0
Mara moja moja ukiamka asubuhi utakuta vialama vya udenda..(Kidogo)
Hii ni kawaida..
Ikitokea ukilala unatoa udenda mwingi kupita kiasi huenda shida ikawa ni:-
-Unazalisha mate mengi hasa wakati wa usiku
-Upande unaolalia (Mara nyingi ukilalia upande wa kusho au kulia)
-Misuli ya mdomo imelegea, hasa kwa watoto wadogo
-Valve kati ya koo la chakula na tumbo haifungi vizuri
-Unapumulia mdomo (Hasa kama una nyama puani au una aleji)
Au labda unatumia dawa za magonjwa ya akili kama Clonazepam nk.
Kupunguza hali fanya hivi:-
-Lalia mgongo
-Kunywa maji ya kutosha mchana walau lita 2 kwa siku
-Cheki na Daktari wa Kinywa akucheki kama una ugonjwa wa kuzalisha Asidi nyingi nk.
Mara nyingi hali hii huisha yenyewe..hasa kwa watoto kadri wanavyokua.
Hii ni kawaida..
Ikitokea ukilala unatoa udenda mwingi kupita kiasi huenda shida ikawa ni:-
-Unazalisha mate mengi hasa wakati wa usiku
-Upande unaolalia (Mara nyingi ukilalia upande wa kusho au kulia)
-Misuli ya mdomo imelegea, hasa kwa watoto wadogo
-Valve kati ya koo la chakula na tumbo haifungi vizuri
-Unapumulia mdomo (Hasa kama una nyama puani au una aleji)
Au labda unatumia dawa za magonjwa ya akili kama Clonazepam nk.
Kupunguza hali fanya hivi:-
-Lalia mgongo
-Kunywa maji ya kutosha mchana walau lita 2 kwa siku
-Cheki na Daktari wa Kinywa akucheki kama una ugonjwa wa kuzalisha Asidi nyingi nk.
Mara nyingi hali hii huisha yenyewe..hasa kwa watoto kadri wanavyokua.