Royal Son
JF-Expert Member
- Dec 22, 2016
- 909
- 1,717
Habari
Ninacho hisi watu wengi kutokujiandikisha kwenye Chaguzi za Serekali za Mitaa pamoja na kutumika hamasa nyingi
Watu wengi walikuwa wanajiandikisha ili wapate Kadi ya kupiga kura iwe kama kitambulisho chake siku hizi tuna Kadi za NIDA
Cha pili Wenyeviti wa Mtaa/Kijiji wamekuwa kama Wazee wa Ukoo yaani ni walewale kila siku
Cha tatu hivyo vyeo vimekuwa kama ni vya Wazee tuu Vijana hatupewi hizo nafasi
Ninacho hisi watu wengi kutokujiandikisha kwenye Chaguzi za Serekali za Mitaa pamoja na kutumika hamasa nyingi
Watu wengi walikuwa wanajiandikisha ili wapate Kadi ya kupiga kura iwe kama kitambulisho chake siku hizi tuna Kadi za NIDA
Cha pili Wenyeviti wa Mtaa/Kijiji wamekuwa kama Wazee wa Ukoo yaani ni walewale kila siku
Cha tatu hivyo vyeo vimekuwa kama ni vya Wazee tuu Vijana hatupewi hizo nafasi