Sababu zinazopelekea Ukeketaji kwa Wasichana/Wanawake

Sababu zinazopelekea Ukeketaji kwa Wasichana/Wanawake

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
0001-16520269077_20210206_143747_0000.png


Ukeketaji umejikita kwenye kanuni na taratibu za kijamii, imani za kiutamaduni na vichocheo vya kiuchumi.

Ukeketaji unaonekana kutumika kama njia ya kudhibiti ashki ya kujamiiana kwa wanawake, na katika jamii nyingi, inachukuliwa kama jambo la muhimu katika shughuli za
jando na unyago.

Simulizi potofu kuhusu ukeketaji zimekuwa zikirudiwa mara nyingi kiasi cha kusadikiwa kuwa ni kweli.
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom