chuma_cha_pua
Member
- Sep 28, 2013
- 24
- 12
Habari wanajamvi,
Kuna jambo nimeona la kushangaza kidogo katika maonyesho haya ya sabasaba katika banda la Wizara ya Kilimo na Uvuvi, kuna sanamu ya huyu samaki anayeitwa coelacanth au silikanti ambaye ni aina ya samaki anayezaa badala ya kutaga mayai, na pia inasemekana ni jamii ya samaki aliyeishi kipindi kile cha wanyama waliojulikana kama Dinasours.
Cha kushangaza ni kwamba hawa samaki ni samaki ambao wapo huku kwetu Tanzania kutokana na maelezo yaliyokuwa yanatolewa na afisa aliyekuwepo katika hilo banda, ila kwanini Katika maonyesho kama haya ambayo ni makubwa kwa nchi yetu kusikuwepo na huyu samaki ambaye ni hai na sio sanamu?
Je, Wizara haioni umuhimu wa kumtafuta huyu samaki na kuwa naye kwa ajili ya utalii na maonyesho kama haya.
Kuna jambo nimeona la kushangaza kidogo katika maonyesho haya ya sabasaba katika banda la Wizara ya Kilimo na Uvuvi, kuna sanamu ya huyu samaki anayeitwa coelacanth au silikanti ambaye ni aina ya samaki anayezaa badala ya kutaga mayai, na pia inasemekana ni jamii ya samaki aliyeishi kipindi kile cha wanyama waliojulikana kama Dinasours.
Cha kushangaza ni kwamba hawa samaki ni samaki ambao wapo huku kwetu Tanzania kutokana na maelezo yaliyokuwa yanatolewa na afisa aliyekuwepo katika hilo banda, ila kwanini Katika maonyesho kama haya ambayo ni makubwa kwa nchi yetu kusikuwepo na huyu samaki ambaye ni hai na sio sanamu?
Je, Wizara haioni umuhimu wa kumtafuta huyu samaki na kuwa naye kwa ajili ya utalii na maonyesho kama haya.