Sabaya Awataja "mamlaka ya Teuzi" na "makamu" Je nao Wawajibishwe?

Sabaya Awataja "mamlaka ya Teuzi" na "makamu" Je nao Wawajibishwe?

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
*

HUKUMU YA SABAYA
Tumefikaje Hapa?

Ilikuwaje? Kipi hakikufanya kazi yake sawasawa? Taifa lenye mihimili yote, taasisi mbalimbali, vyombo vya habari, vyombo vya ulinzi na jumuia za kimataifa, likaacha mtu mmoja akateka, akaiba, akatesa, akabaka, na kuvunja sheria zote?

Kabla ya kuteuliwa kuwa DC, Sabaya alikuwa chini ya uchunguzi wa Polisi kwa makosa ya kutapeli na kujifanya Afisa wa "Chombo" nyeti.

Ndani ya "chombo" nyeti ni kosa la ahera kutumia kitambulisho cha "chombo" kujipatia huduma au kutisha watu. Ni kosa kubwa zaidi "kujifanya" na "kughushi" kitambulisho cha chombo.

Kabla Polisi hawajampeleka mahakamani, akateuliwa kuwa DC.
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya (Sasa Mbunge) alitia mkono kwenye mamlaka ya uteuzi mpaka Sabaya akateuliwa.

Lilikuwa kosa kubwa. Linaigharimu serikali, linaichafua mamlaka ya uteuzi.

Utetezi wa Sabaya katika kesi hii kuwa alitumwa na mamlaka ya uteuzi ni mbaya sana. Unaichafua taasisi ya uteuzi, unakichafua "chombo" nyeti na kudhalilisha viapo. Mteuzi na Mteuliwa Hawakufundwa. Tunabaki kujiuliza:

I) Kwa hiyo mamlaka ya uteuzi iliagiza Sabaya aibe, abake, apore, aue, atese, ateke na kughushi?

Ii) Kwa hiyo mamlaka ya uteuzi imehukumiwa kama mshirika wa jinai hizi?

III) Kwa hiyo kama si Kinga, tungetumia "subpoena" kuiita mamlaka ya uteuzi kizimbani kujieleza?

iv) Kwa hiyo tungekuwa na utawala mzuri wa sheria, bunge lingeteua Kamati Maalum ya kibunge kuchunguza makosa haya makubwa yaliyotendwa na mamlaka ya uteuzi?(Watergate).

v) Kwa hiyo Sabaya ameivua nguo mamlaka ya uteuzi kwa madai haya mazito akiwa mbele ya kiapo au amedanganya chini ya kiapo?

Madai ya Katiba Mpya yanaonekana wazi. Katika kesi hii, mambo mapya ya kuzingatiwa katika katika mpya yamejitokeza:

1. Nafasi ya DC na RC: Wateuliwe au wachaguliwe? Je ni wanahitajika ikiwa tuna dhamira ya kuimarisha serikali za mitaa?

2. Kinga ya Rais: iwepo au isiwepo? Ikinge yapi na kuacha yapi? Ianze lini na kukoma lini?

3. Wateule kupitiwa na Kamati fulani kabla ya kuthibitishwa

4. Njia ya kushughulikia mamlaka kuu endapo zimekiuka katiba

5. Namna ya kushughulika na wateule wenye viapo endapo wanashtakiwa katika mahakama za wazi.

6. Usawa mbele ya sheria.

Uhuru "Chombo" imehojiwa na Kesi hii. Kimepoteza uhuru na weredi. Tufanye Nini?

Je kama Taifa twaweza kuungana, tukasahau tofauti zetu na kutamka kwa pamoja kuwa "ISITOKEE TENA"?
Bag-Onza
 
*

HUKUMU YA SABAYA
Tumefikaje Hapa?

Ilikuwaje? Kipi hakikufanya kazi yake sawasawa? Taifa lenye mihimili yote, taasisi mbalimbali, vyombo vya habari, vyombo vya ulinzi na jumuia za kimataifa, likaacha mtu mmoja akateka, akaiba, akatesa, akabaka, na kuvunja sheria zote?

Kabla ya kuteuliwa kuwa DC, Sabaya alikuwa chini ya uchunguzi wa Polisi kwa makosa ya kutapeli na kujifanya Afisa wa "Chombo" nyeti.

Ndani ya "chombo" nyeti ni kosa la ahera kutumia kitambulisho cha "chombo" kujipatia huduma au kutisha watu. Ni kosa kubwa zaidi "kujifanya" na "kughushi" kitambulisho cha chombo.

Kabla Polisi hawajampeleka mahakamani, akateuliwa kuwa DC.
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya (Sasa Mbunge) alitia mkono kwenye mamlaka ya uteuzi mpaka Sabaya akateuliwa.

Lilikuwa kosa kubwa. Linaigharimu serikali, linaichafua mamlaka ya uteuzi.

Utetezi wa Sabaya katika kesi hii kuwa alitumwa na mamlaka ya uteuzi ni mbaya sana. Unaichafua taasisi ya uteuzi, unakichafua "chombo" nyeti na kudhalilisha viapo. Mteuzi na Mteuliwa Hawakufundwa. Tunabaki kujiuliza:

I) Kwa hiyo mamlaka ya uteuzi iliagiza Sabaya aibe, abake, apore, aue, atese, ateke na kughushi?

Ii) Kwa hiyo mamlaka ya uteuzi imehukumiwa kama mshirika wa jinai hizi?

III) Kwa hiyo kama si Kinga, tungetumia "subpoena" kuiita mamlaka ya uteuzi kizimbani kujieleza?

iv) Kwa hiyo tungekuwa na utawala mzuri wa sheria, bunge lingeteua Kamati Maalum ya kibunge kuchunguza makosa haya makubwa yaliyotendwa na mamlaka ya uteuzi?(Watergate).

v) Kwa hiyo Sabaya ameivua nguo mamlaka ya uteuzi kwa madai haya mazito akiwa mbele ya kiapo au amedanganya chini ya kiapo?

Madai ya Katiba Mpya yanaonekana wazi. Katika kesi hii, mambo mapya ya kuzingatiwa katika katika mpya yamejitokeza:

1. Nafasi ya DC na RC: Wateuliwe au wachaguliwe? Je ni wanahitajika ikiwa tuna dhamira ya kuimarisha serikali za mitaa?

2. Kinga ya Rais: iwepo au isiwepo? Ikinge yapi na kuacha yapi? Ianze lini na kukoma lini?

3. Wateule kupitiwa na Kamati fulani kabla ya kuthibitishwa

4. Njia ya kushughulikia mamlaka kuu endapo zimekiuka katiba

5. Namna ya kushughulika na wateule wenye viapo endapo wanashtakiwa katika mahakama za wazi.

6. Usawa mbele ya sheria.

Uhuru "Chombo" imehojiwa na Kesi hii. Kimepoteza uhuru na weredi. Tufanye Nini?

Je kama Taifa twaweza kuungana, tukasahau tofauti zetu na kutamka kwa pamoja kuwa "ISITOKEE TENA"?
Bag-Onza
Huyo Alikuwa Dc na sasa Mbunge ni yupi
 
Wazo fikirishi:
Haiwezekani Sabaya alivumiliwa sababu alikuwa na kazi ya kuhudumia nyumba ndogo za mukubwa?
 
*

HUKUMU YA SABAYA
Tumefikaje Hapa?

Ilikuwaje? Kipi hakikufanya kazi yake sawasawa? Taifa lenye mihimili yote, taasisi mbalimbali, vyombo vya habari, vyombo vya ulinzi na jumuia za kimataifa, likaacha mtu mmoja akateka, akaiba, akatesa, akabaka, na kuvunja sheria zote?

Kabla ya kuteuliwa kuwa DC, Sabaya alikuwa chini ya uchunguzi wa Polisi kwa makosa ya kutapeli na kujifanya Afisa wa "Chombo" nyeti.

Ndani ya "chombo" nyeti ni kosa la ahera kutumia kitambulisho cha "chombo" kujipatia huduma au kutisha watu. Ni kosa kubwa zaidi "kujifanya" na "kughushi" kitambulisho cha chombo.

Kabla Polisi hawajampeleka mahakamani, akateuliwa kuwa DC.
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya (Sasa Mbunge) alitia mkono kwenye mamlaka ya uteuzi mpaka Sabaya akateuliwa.

Lilikuwa kosa kubwa. Linaigharimu serikali, linaichafua mamlaka ya uteuzi.

Utetezi wa Sabaya katika kesi hii kuwa alitumwa na mamlaka ya uteuzi ni mbaya sana. Unaichafua taasisi ya uteuzi, unakichafua "chombo" nyeti na kudhalilisha viapo. Mteuzi na Mteuliwa Hawakufundwa. Tunabaki kujiuliza:

I) Kwa hiyo mamlaka ya uteuzi iliagiza Sabaya aibe, abake, apore, aue, atese, ateke na kughushi?

Ii) Kwa hiyo mamlaka ya uteuzi imehukumiwa kama mshirika wa jinai hizi?

III) Kwa hiyo kama si Kinga, tungetumia "subpoena" kuiita mamlaka ya uteuzi kizimbani kujieleza?

iv) Kwa hiyo tungekuwa na utawala mzuri wa sheria, bunge lingeteua Kamati Maalum ya kibunge kuchunguza makosa haya makubwa yaliyotendwa na mamlaka ya uteuzi?(Watergate).

v) Kwa hiyo Sabaya ameivua nguo mamlaka ya uteuzi kwa madai haya mazito akiwa mbele ya kiapo au amedanganya chini ya kiapo?

Madai ya Katiba Mpya yanaonekana wazi. Katika kesi hii, mambo mapya ya kuzingatiwa katika katika mpya yamejitokeza:

1. Nafasi ya DC na RC: Wateuliwe au wachaguliwe? Je ni wanahitajika ikiwa tuna dhamira ya kuimarisha serikali za mitaa?

2. Kinga ya Rais: iwepo au isiwepo? Ikinge yapi na kuacha yapi? Ianze lini na kukoma lini?

3. Wateule kupitiwa na Kamati fulani kabla ya kuthibitishwa

4. Njia ya kushughulikia mamlaka kuu endapo zimekiuka katiba

5. Namna ya kushughulika na wateule wenye viapo endapo wanashtakiwa katika mahakama za wazi.

6. Usawa mbele ya sheria.

Uhuru "Chombo" imehojiwa na Kesi hii. Kimepoteza uhuru na weredi. Tufanye Nini?

Je kama Taifa twaweza kuungana, tukasahau tofauti zetu na kutamka kwa pamoja kuwa "ISITOKEE TENA"?
Bag-Onza
MHESHIMIWA JAJI MFAWIDHI, ANDIKO LAKO NI ZURI NA PANA SANA, LAKINI KWA SABABU YA WATANZANIA AMBAO KUCHA KUTWA NI KUFUATA UPEPO BASI HAWATAONA UMUHIMU WA HAYA ULUYOYAELEZA. SAA IMEWADIA YA KUONA TUFANYE NINI KUIMARISHA MSTAKABALI WA TAIFA LETU. HATA KAMA KATIBA MPYA INAKUA KAMA NDOTO LAKINI HIYO HIYO VILAKA VILIVYOSHONWA KWA AJILI YA WAO TUUU, NA SI KWA AJILI YA SOTE, VIONDOLEWE, HIVYO VILAKA VIPACHIKWE VINGINE KWA AJILI YA WATANZANIA WATAWALIWA NA SIYO KWA AJILI YA WATAWALA. KINACHOTIA SIMANZI NI KUWA PENDEKEZO LA KATIBA MPYA LILILOANDIKWA NA WA UPANDE WAO, TENA WENYE KUHESHIKIKA KATIKA JAMII, LIKAKATALIWA (KUFANYIWA MAPINDUZI), IKAWA MWISHO WAKE, FEDHA , MUDA VIKAPOTEA , HADI LEO HAKUNA HATA BUNGE KUHOJI KWA NINI FEDHA NA MUDA VILIPOTEA BILA KULETA MANUFAA YEYOTE.
 
*

HUKUMU YA SABAYA
Tumefikaje Hapa?

Ilikuwaje? Kipi hakikufanya kazi yake sawasawa? Taifa lenye mihimili yote, taasisi mbalimbali, vyombo vya habari, vyombo vya ulinzi na jumuia za kimataifa, likaacha mtu mmoja akateka, akaiba, akatesa, akabaka, na kuvunja sheria zote?

Kabla ya kuteuliwa kuwa DC, Sabaya alikuwa chini ya uchunguzi wa Polisi kwa makosa ya kutapeli na kujifanya Afisa wa "Chombo" nyeti.

Ndani ya "chombo" nyeti ni kosa la ahera kutumia kitambulisho cha "chombo" kujipatia huduma au kutisha watu. Ni kosa kubwa zaidi "kujifanya" na "kughushi" kitambulisho cha chombo.

Kabla Polisi hawajampeleka mahakamani, akateuliwa kuwa DC.
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya (Sasa Mbunge) alitia mkono kwenye mamlaka ya uteuzi mpaka Sabaya akateuliwa.

Lilikuwa kosa kubwa. Linaigharimu serikali, linaichafua mamlaka ya uteuzi.

Utetezi wa Sabaya katika kesi hii kuwa alitumwa na mamlaka ya uteuzi ni mbaya sana. Unaichafua taasisi ya uteuzi, unakichafua "chombo" nyeti na kudhalilisha viapo. Mteuzi na Mteuliwa Hawakufundwa. Tunabaki kujiuliza:

I) Kwa hiyo mamlaka ya uteuzi iliagiza Sabaya aibe, abake, apore, aue, atese, ateke na kughushi?

Ii) Kwa hiyo mamlaka ya uteuzi imehukumiwa kama mshirika wa jinai hizi?

III) Kwa hiyo kama si Kinga, tungetumia "subpoena" kuiita mamlaka ya uteuzi kizimbani kujieleza?

iv) Kwa hiyo tungekuwa na utawala mzuri wa sheria, bunge lingeteua Kamati Maalum ya kibunge kuchunguza makosa haya makubwa yaliyotendwa na mamlaka ya uteuzi?(Watergate).

v) Kwa hiyo Sabaya ameivua nguo mamlaka ya uteuzi kwa madai haya mazito akiwa mbele ya kiapo au amedanganya chini ya kiapo?

Madai ya Katiba Mpya yanaonekana wazi. Katika kesi hii, mambo mapya ya kuzingatiwa katika katika mpya yamejitokeza:

1. Nafasi ya DC na RC: Wateuliwe au wachaguliwe? Je ni wanahitajika ikiwa tuna dhamira ya kuimarisha serikali za mitaa?

2. Kinga ya Rais: iwepo au isiwepo? Ikinge yapi na kuacha yapi? Ianze lini na kukoma lini?

3. Wateule kupitiwa na Kamati fulani kabla ya kuthibitishwa

4. Njia ya kushughulikia mamlaka kuu endapo zimekiuka katiba

5. Namna ya kushughulika na wateule wenye viapo endapo wanashtakiwa katika mahakama za wazi.

6. Usawa mbele ya sheria.

Uhuru "Chombo" imehojiwa na Kesi hii. Kimepoteza uhuru na weredi. Tufanye Nini?

Je kama Taifa twaweza kuungana, tukasahau tofauti zetu na kutamka kwa pamoja kuwa "ISITOKEE TENA"?
Bag-Onza
Viongozi wa CCM wako juu ya sheria, huwa hawakosei na wanahaki ya kufanya lolote lile zuri na baya ndiyo sababu walijiwekea kinga.
 
Viongozi wa CCM wako juu ya sheria, huwa hawakosei na wanahaki ya kufanya lolote lile zuri na baya ndiyo sababu walijiwekea kinga.
hivi kipindi ile Simba-chweni, Kanga Lungola na Vikiti Mwamba-wa -lwaasa si walikutwa na rushwa, wakapelekwa mahakamani na kesi ikafutwa juu kwa juu? wakapewa uwaziri, ...
 
hivi kipindi ile Simba-chweni, Kanga Lungola na Vikiti Mwamba-wa -lwaasa si walikutwa na rushwa, wakapelekwa mahakamani na kesi ikafutwa juu kwa juu? wakapewa uwaziri, ...
KWA MASIKITIKO KABISA KABISA , WAO WANADHANI KUWA HAWATAWEZA KUPITIA KATIKA TANURU KAMA HILI BALI NI KWA AJILI YA WENGINE, TOKA CDM, NCCR, TLP CUF N.K KUMBE BAADAYE MAMBO YANABADILIKA KULINGANA NA AJIYEPO. LAKINI KAMA TUNAKUWA NA CHOMBO IMARA YOTE HAYA HANAKUWA NI HAKI BIN HAKI BASII, SIYO KUTEGEMEA HADHILA. HATA KWENYE NAFASI ZA KAZI , HINGEKUWA KWA AJILI YA WOTE SIYO KWA AJILI YA VI-MEMO PEKEE( WITH COMPLEMENTS FROM--------)
 
Magufuli alikuwa mtu wa hovyo sana.
Nashangaa hawa waliokuwa wakimwabudu.
Mpaka juzi wamegeuza sherehe ya Nyerere kuwa sherehe ya Magufuli.
Kwenye hili la kuibadili Nyerere day kuwa Magufuli day ni aibu kubwa. Mama Maria NI MTU mzima sana sasa hivi, CCM kumtoa Butiama akazime mwenge Chato ni kukosa heshima. Huyo mama alitakiwa abaki Butiama asubiri wageni wa Nyerere day na waweka mashada kaburini, ikageuzwa mashada kuwekwa kwenye kaburi la Magufuli, huko ni kukosa heshima. Suala Hilo lisijirudie, kila tukio Lina tarehe zake, huwezi kuadhimisha Pasaka siku ya Idi, Wala HUWEZI kuadhimisha Idi siku ya Pasaka, hakuna uhusiano kabisa, Nyerere day huwezi kuiadhimisha Magufuli day kwa KISINGIZIO Cha Mwenge.
 
*

HUKUMU YA SABAYA
Tumefikaje Hapa?

Ilikuwaje? Kipi hakikufanya kazi yake sawasawa? Taifa lenye mihimili yote, taasisi mbalimbali, vyombo vya habari, vyombo vya ulinzi na jumuia za kimataifa, likaacha mtu mmoja akateka, akaiba, akatesa, akabaka, na kuvunja sheria zote?

Kabla ya kuteuliwa kuwa DC, Sabaya alikuwa chini ya uchunguzi wa Polisi kwa makosa ya kutapeli na kujifanya Afisa wa "Chombo" nyeti.

Ndani ya "chombo" nyeti ni kosa la ahera kutumia kitambulisho cha "chombo" kujipatia huduma au kutisha watu. Ni kosa kubwa zaidi "kujifanya" na "kughushi" kitambulisho cha chombo.

Kabla Polisi hawajampeleka mahakamani, akateuliwa kuwa DC.
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya (Sasa Mbunge) alitia mkono kwenye mamlaka ya uteuzi mpaka Sabaya akateuliwa.

Lilikuwa kosa kubwa. Linaigharimu serikali, linaichafua mamlaka ya uteuzi.

Utetezi wa Sabaya katika kesi hii kuwa alitumwa na mamlaka ya uteuzi ni mbaya sana. Unaichafua taasisi ya uteuzi, unakichafua "chombo" nyeti na kudhalilisha viapo. Mteuzi na Mteuliwa Hawakufundwa. Tunabaki kujiuliza:

I) Kwa hiyo mamlaka ya uteuzi iliagiza Sabaya aibe, abake, apore, aue, atese, ateke na kughushi?

Ii) Kwa hiyo mamlaka ya uteuzi imehukumiwa kama mshirika wa jinai hizi?

III) Kwa hiyo kama si Kinga, tungetumia "subpoena" kuiita mamlaka ya uteuzi kizimbani kujieleza?

iv) Kwa hiyo tungekuwa na utawala mzuri wa sheria, bunge lingeteua Kamati Maalum ya kibunge kuchunguza makosa haya makubwa yaliyotendwa na mamlaka ya uteuzi?(Watergate).

v) Kwa hiyo Sabaya ameivua nguo mamlaka ya uteuzi kwa madai haya mazito akiwa mbele ya kiapo au amedanganya chini ya kiapo?

Madai ya Katiba Mpya yanaonekana wazi. Katika kesi hii, mambo mapya ya kuzingatiwa katika katika mpya yamejitokeza:

1. Nafasi ya DC na RC: Wateuliwe au wachaguliwe? Je ni wanahitajika ikiwa tuna dhamira ya kuimarisha serikali za mitaa?

2. Kinga ya Rais: iwepo au isiwepo? Ikinge yapi na kuacha yapi? Ianze lini na kukoma lini?

3. Wateule kupitiwa na Kamati fulani kabla ya kuthibitishwa

4. Njia ya kushughulikia mamlaka kuu endapo zimekiuka katiba

5. Namna ya kushughulika na wateule wenye viapo endapo wanashtakiwa katika mahakama za wazi.

6. Usawa mbele ya sheria.

Uhuru "Chombo" imehojiwa na Kesi hii. Kimepoteza uhuru na weredi. Tufanye Nini?

Je kama Taifa twaweza kuungana, tukasahau tofauti zetu na kutamka kwa pamoja kuwa "ISITOKEE TENA"?
Bag-Onza
Tunahitaji katiba mpya ambayo itaheshimiwa na kila raia! Katiba ya sasa haiheshimiwi tena na nchi inaongozwa kwa utashi wa watu binafsi!
 
Tunahitaji katiba mpya ambayo itaheshimiwa na kila raia! Katiba ya sasa haiheshimiwi tena na nchi inaongozwa kwa utashi wa watu binafsi!
Sizonje amesema aachwe "ajenge kwanza nchi" wewe unafikiri nchi itapauliwa lini, ili tuendeleze mchakato wa Katiba?
 
Kwenye hili la kuibadili Nyerere day kuwa Magufuli day ni aibu kubwa. Mama Maria NI MTU mzima sana sasa hivi, CCM kumtoa Butiama akazime mwenge Chato ni kukosa heshima. Huyo mama alitakiwa abaki Butiama asubiri wageni wa Nyerere day na waweka mashada kaburini, ikageuzwa mashada kuwekwa kwenye kaburi la Magufuli, huko ni kukosa heshima. Suala Hilo lisijirudie, kila tukio Lina tarehe zake, huwezi kuadhimisha Pasaka siku ya Idi, Wala HUWEZI kuadhimisha Idi siku ya Pasaka, hakuna uhusiano kabisa, Nyerere day huwezi kuiadhimisha Magufuli day kwa KISINGIZIO Cha Mwenge.
hivi hizi familia kuna ugomvi?
Kweli kabisa Nyerere Day inakuwa Magu day?
Basi waifute tu hiyo Nyerere kwenye PUBLIC HOLIDAY ACT na waiweke MAGU DAY tujue moja.
 
Kwanza mahakama imetuambia huyo sabaya ni jambazi la silaha sasa tumwite anavyostahili...
Moja, Jambazi Sabaya alitumwa na mamlaka za uteuzi na makamu(sasa prezoo) alikuwa sehemu ya wateuzi pia waziri wafedha (makamu kwasasa) alikuwa anajua anavyotumwaga kufanya uvamizi wakutumia silaha zamoto.
Pili, alituambia mwenyewe kuwa yeye na mtangulizi wake nikitu kimoja,kwahivyo nayeye atatuma majambazi kuvamia wafanya biashara!!

Iwapo mwendazake alikuwa anatuma majambazi kuvamia watu (kwamujibu wa 7ya) kwanini tusiunganishe dots shambulizi la Lissu?? Vitisho vya silaha kwa Nape? Utekaji wooote wakina dewji nawengine???
Hatukuwa nabado hatuko salama!!!!
 
*

HUKUMU YA SABAYA
Tumefikaje Hapa?

Ilikuwaje? Kipi hakikufanya kazi yake sawasawa? Taifa lenye mihimili yote, taasisi mbalimbali, vyombo vya habari, vyombo vya ulinzi na jumuia za kimataifa, likaacha mtu mmoja akateka, akaiba, akatesa, akabaka, na kuvunja sheria zote?

Kabla ya kuteuliwa kuwa DC, Sabaya alikuwa chini ya uchunguzi wa Polisi kwa makosa ya kutapeli na kujifanya Afisa wa "Chombo" nyeti.

Ndani ya "chombo" nyeti ni kosa la ahera kutumia kitambulisho cha "chombo" kujipatia huduma au kutisha watu. Ni kosa kubwa zaidi "kujifanya" na "kughushi" kitambulisho cha chombo.

Kabla Polisi hawajampeleka mahakamani, akateuliwa kuwa DC.
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya (Sasa Mbunge) alitia mkono kwenye mamlaka ya uteuzi mpaka Sabaya akateuliwa.

Lilikuwa kosa kubwa. Linaigharimu serikali, linaichafua mamlaka ya uteuzi.

Utetezi wa Sabaya katika kesi hii kuwa alitumwa na mamlaka ya uteuzi ni mbaya sana. Unaichafua taasisi ya uteuzi, unakichafua "chombo" nyeti na kudhalilisha viapo. Mteuzi na Mteuliwa Hawakufundwa. Tunabaki kujiuliza:

I) Kwa hiyo mamlaka ya uteuzi iliagiza Sabaya aibe, abake, apore, aue, atese, ateke na kughushi?

Ii) Kwa hiyo mamlaka ya uteuzi imehukumiwa kama mshirika wa jinai hizi?

III) Kwa hiyo kama si Kinga, tungetumia "subpoena" kuiita mamlaka ya uteuzi kizimbani kujieleza?

iv) Kwa hiyo tungekuwa na utawala mzuri wa sheria, bunge lingeteua Kamati Maalum ya kibunge kuchunguza makosa haya makubwa yaliyotendwa na mamlaka ya uteuzi?(Watergate).

v) Kwa hiyo Sabaya ameivua nguo mamlaka ya uteuzi kwa madai haya mazito akiwa mbele ya kiapo au amedanganya chini ya kiapo?

Madai ya Katiba Mpya yanaonekana wazi. Katika kesi hii, mambo mapya ya kuzingatiwa katika katika mpya yamejitokeza:

1. Nafasi ya DC na RC: Wateuliwe au wachaguliwe? Je ni wanahitajika ikiwa tuna dhamira ya kuimarisha serikali za mitaa?

2. Kinga ya Rais: iwepo au isiwepo? Ikinge yapi na kuacha yapi? Ianze lini na kukoma lini?

3. Wateule kupitiwa na Kamati fulani kabla ya kuthibitishwa

4. Njia ya kushughulikia mamlaka kuu endapo zimekiuka katiba

5. Namna ya kushughulika na wateule wenye viapo endapo wanashtakiwa katika mahakama za wazi.

6. Usawa mbele ya sheria.

Uhuru "Chombo" imehojiwa na Kesi hii. Kimepoteza uhuru na weredi. Tufanye Nini?

Je kama Taifa twaweza kuungana, tukasahau tofauti zetu na kutamka kwa pamoja kuwa "ISITOKEE TENA"?
Bag-Onza
Corona ilishatoa hukumu kwa mamlaka ilioyomteua
 
Sizonje amesema aachwe "ajenge kwanza nchi" wewe unafikiri nchi itapauliwa lini, ili tuendeleze mchakato wa Katiba?
Hukumu hii ya kesi ya Sabaya na kesi zinazokuja za Sabaya zitaendelea kuivua nguo serikali kwa matumizi mabaya ya vyombo vya dola. Aidha kesi ya Mbowe itaweka wazi dhamira ovu ya serikali katika kuhujumu haki za msingi za raia wa nchi hii kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi.

Hadi hivi sasa kuna mtikisiko ndani ya serikali na hasa jeshi la polisi katika kuzingatia weledi wa majukumu yao. Kwa kifupi serikali inadhoofika na kukosa imani kwa wananchi. Tuendelee kupiga kelele, muda utafika serikali itanyoosha mikono.

Moja ya mbinu inazotumia serikali kwa sasa kuwapumbaza wananchi ni kutumia ujenzi na kufufua miradi mbalimbali ambayo kimsingi ilihujumiwa na serikali yenyewe kwa kukumbatia rushwa na ufisadi. Lakini mbinu hii haiwezi kupiku uhuru na haki za msingi za binadamu!
 
Back
Top Bottom