Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ndio taarifa mpya kwa sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapambe wenyewe ni wale wachovu waliokuwa wanafaidika na bia za kuporaNina hakika kabisa kuwa huyu Sabaya safari hii hatoboi, licha ya wale wapambe wake kumpigania kuwa nguvu zote😁
Tulionya sana lakini tukapuuzwaMaishani mwetu tumtegemee Mungu, binadamu ni kiumbe cha Mungu anaweza kuzimika saa yeyote kama mshumaa 🕯
Kamanda Lema alimuonya chalii akaona anakanyaga mawingu...sasa alie na NUHUTulionya sana lakini tukapuuzwa
Kama alivyozimika yule tajiri, mwanafalsafa, daktari, injinia, mjuzi wa kila fani.Maishani mwetu tumtegemee Mungu, binadamu ni kiumbe cha Mungu anaweza kuzimika saa yeyote kama mshumaa 🕯
Mkuu hili jamaa linatoboa vizuri tu.Huyu jamaa naamini akihukumiwa kifungo bado kuna adhabu nyingine za vifungo zitaendelea kumfuata huko gerezani, maana haya mashtaka mapya dhidi yake hayawezi kumuacha salama, na wale wajinga wanaomtetea wajiandae kumsaidia kutumikia sehemu ya hivyo vifungo kama wanampenda sana.
Ipe uhuru mahakama ifanye kazi yake.Tulionya sana lakini tukapuuzwa
Sabaya, Jiwe, Makonda, Mwigulu, Heri, n.k list ni ndefu sana ikiwemo na wafuasi wao!Sabaya ni copy tu,nyuma yake yupo jiwe! Jiwe anastahili adhabu zaidi hata kama yupo kaburini.
Yule alianza kuoza akiwa Ikulu na hasa hasa kipindi cha kampeni 2020. Fuatilia picha utapata ukweli!Huyu ndio jiwe kaoza haraka hivi miezi minne mtu anaoza kweli na misindano yote aliyopigwa
Anaweza kutoboa mahakama za ccm lakini kwa wananchi hatofika mbali! UtanambiaMkuu hili jamaa linatoboa vizuri tu.
Mda utaongea.
Mbali wapi, mkuu mahakamani ni ushahidi tu siyo nilisikia au tuhuma bila ushahidi.Anaweza kutoboa mahakama za ccm lakini kwa wananchi hatofika mbali! Utanambia
Acheni kupoteza muda Wenu fanyeni Kazi za Kuendeleza Familia zenu Kimaendeleo huyu Ole Sabaya hatofungwa na Kesi zote atazipangua ila mtazugwa kwa Yeye kuwa huko Rumande mpaka pale Tukio Kubwa na Baya litakapoandaliwa 'Kimkakati' na Wananchi wengi kuhangaika nalo Kulijadili kwa Mihemko na Kudemka kisha Yeye anaachiwa Huru.
Jiwe alitakiwa tumpike nyama tumleSabaya ni copy tu,nyuma yake yupo jiwe! Jiwe anastahili adhabu zaidi hata kama yupo kaburini.
Kweli kabisa haya maccm mashenzi yanatucheza shere tuAcheni kupoteza muda Wenu fanyeni Kazi za Kuendeleza Familia zenu Kimaendeleo huyu Ole Sabaya hatofungwa na Kesi zote atazipangua ila mtazugwa kwa Yeye kuwa huko Rumande mpaka pale Tukio Kubwa na Baya litakapoandaliwa 'Kimkakati' na Wananchi wengi kuhangaika nalo Kulijadili kwa Mihemko na Kudemka kisha Yeye anaachiwa Huru.
Hata kama nyama ni nyama lakini yule nyama yake isingeliwa hata na fisi!Jiwe alitakiwa tumpike nyama tumle
Wamsai, Wameru na Wachaga kimila wameungana kwenye hiyo kesi.Kweli kabisa haya maccm mashenzi yanatucheza shere tu