kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Uko sahihi.Wekeza kwa watu na kudai haki pamoja na kunyanyaswa.Kila Kona kila kijiwe kauli mbiu ni Mbowe Mbowe Mbowe. Huyu mwamba amejua kuwatingisha. Yupo jela huku nje watu wanalipwa wakamshawishi atoke jela. Yaani unawekwa jela then qaliokuweka jela wanatafuta watu wakukutoa jela? Ishi na watu vizuri wakusaidie unapokwama.
Kila Kona anajadioiwa Mbowe, Kanisani Mbowe, Msikitini Mbowe, sokoni Mboni na hata Mahabusu wajuba Wapo happy wanamtukuza Mbowe. Wekeza Kwa watu.
Tusubiri tuone walionunuliwa kuwasafisha waliomweka ndani watafika wapi baada nchi kumeguka kigikra. Mahabusu wanasema kesi ya michongo jaji anamind lakini ndo ishakuwa michongo,
Kwahiyo?Endeleeni kujazana ujinga huku Mbowe anasota rumande
Wewe ndiye unaisotesha akili yako kwa kuamini mbowe anasota rumandeEndeleeni kujazana ujinga huku Mbowe anasota rumande
Mbowe ni shujaaKila Kona kila kijiwe kauli mbiu ni Mbowe Mbowe Mbowe. Huyu mwamba amejua kuwatingisha. Yupo jela huku nje watu wanalipwa wakamshawishi atoke jela. Yaani unawekwa jela then qaliokuweka jela wanatafuta watu wakukutoa jela? Ishi na watu vizuri wakusaidie unapokwama.
Kila Kona anajadioiwa Mbowe, Kanisani Mbowe, Msikitini Mbowe, sokoni Mboni na hata Mahabusu wajuba Wapo happy wanamtukuza Mbowe. Wekeza Kwa watu.
Tusubiri tuone walionunuliwa kuwasafisha waliomweka ndani watafika wapi baada nchi kumeguka kigikra. Mahabusu wanasema kesi ya michongo jaji anamind lakini ndo ishakuwa michongo,