AmeenMi naamini wabunge wa chadema wote wa dar walishinda ispokuw temeke ambapo ni ngome ya ccm.
Wakurugrnzi waliambiwa watangaze wanaccm hivyohivyo come what may. Mfano imedhihirika wazi mbowe alishinda ila kwa vile sabaya aliagizwa kwa kazi maalumu ya kuchinja, kuteka na kuua isingekuwa rahisi mbowe kutangazwa.
Makonda naye alifanya hivyohivyo kwa mkoa wa dar.
Ama kweli tulikuwa tunakngozwa na shetani na mungu akaamua kuingilia kati.
Wabunge walitokana na mabegi ya kubebabwa mgongoni yaliyojaa hahahaa!Wabunge wengi si halali.
AMENAma kweli tulikuwa tunakngozwa na shetani na mungu akaamua kuingilia kati.
Shetani mama yako ,ebho!
Nikikumbuka yule Mama aliyekatwa sikio Kule Vunjo NCCR sina hamu kabisa na Jiwe magufuli. He was A Satanic AgentMi naamini wabunge wa chadema wote wa dar walishinda ispokuw temeke ambapo ni ngome ya ccm.
Wakurugrnzi waliambiwa watangaze wanaccm hivyohivyo come what may. Mfano imedhihirika wazi mbowe alishinda ila kwa vile sabaya aliagizwa kwa kazi maalumu ya kuchinja, kuteka na kuua isingekuwa rahisi mbowe kutangazwa.
Makonda naye alifanya hivyohivyo kwa mkoa wa dar.
Ama kweli tulikuwa tunakngozwa na shetani na mungu akaamua kuingilia kati.
80%. Maana hata wale waliokuwa na uwezo wa kushinda waliingia ktk mkumboWabunge wengi si halali.
Dar Yote Upinzani walishinda. Huko.Mbeya na Iringa ndio usiseme. Mbozi na Arusha kilimanjaro. Kimsingi Hata Magufuli under S.T.P asingeshinda Jabali TALNilikuwa msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Musoma mjini !!Ukweli CCM haikushinda.Mkurugenzi Mungu anakuona.
Very correct.Zaidi ya nusu ya majimbo ya uchaguzi kanda ya ziwa ccm walipoteza.
kawe hakushinda wa chadema alizidiwa kura 11000 za bila chenga
Awamu ile ushamba ulikubuhu sana hata mbinu zilikua za kishamba tu .
Watu waliweka kura kwenye hotpot ikawa mara ya kwanza tangu kuasisiwa kwa nchi ya Tanzania.
Mitandao ikawekwa kapuni siku 6 tukafanana na nchi zilizokubuhu kwa udikteta zilizokuwa zikifanya tangu awali na watanzania walikua wakisikia ndipo walionja machungu
Kwa mujibu wa rekodi za ndani sio 50% ni 70 mkuuMi naamini wabunge wa chadema wote wa dar walishinda ispokuw temeke ambapo ni ngome ya ccm.
Wakurugrnzi waliambiwa watangaze wanaccm hivyohivyo come what may. Mfano imedhihirika wazi mbowe alishinda ila kwa vile sabaya aliagizwa kwa kazi maalumu ya kuchinja, kuteka na kuua isingekuwa rahisi mbowe kutangazwa.
Makonda naye alifanya hivyohivyo kwa mkoa wa dar.
Ama kweli tulikuwa tunakngozwa na shetani na mungu akaamua kuingilia kati.
Tatizo tume!Mie nawacheki waunga juhudi saivi Kiama Chao kinakaribia. 2022/2023/2024 unavifuata mtu atajifunza umalaya sio mzuri. Unaniacha mme wako kisa umepewa karanga za kuonjeshwa jamani ama umehongwa hela Fulani jamani
Makonda unamsingizia hakuwa kiongozi wakati wa uchaguziMi naamini wabunge wa chadema wote wa dar walishinda ispokuw temeke ambapo ni ngome ya ccm.
Wakurugrnzi waliambiwa watangaze wanaccm hivyohivyo come what may. Mfano imedhihirika wazi mbowe alishinda ila kwa vile sabaya aliagizwa kwa kazi maalumu ya kuchinja, kuteka na kuua isingekuwa rahisi mbowe kutangazwa.
Makonda naye alifanya hivyohivyo kwa mkoa wa dar.
Ama kweli tulikuwa tunakngozwa na shetani na mungu akaamua kuingilia kati.