Sabaya under probe for seven other claims

Kwa mlekeo huu mtaharibu kesi iliyoko mahakamani na Sabaya ataachiwa kama wale wezi wengine kwa sababu ya kuingilia uhuru wa mahakama.
 
Hii kesi inahisia za kisiasa,na kwakuwa bi mkubwa naye hajielewi,kazi kulembua ndo hivyo tena,7buyer atapitia wakati mgumu ,japo atachomoa tu,mtaniambia baadae.sema akubali kudhalilika for a while.
 
Huyu Sabaya anatakiwa akutane na vijana wamkamue Kengele hizo. Swine huyu
 
Unagusaje watoto wa baba mwenye nyumba? Wawakilishi wa udikteta. Kuteka na........ Watu ambao wanaku challenge? Mungu mkubwa
 
Kila March ya kila mwaka ninashauri serikali iite ni mwezi wa ukombozi. Yaani jina UKOMBOZI
 
Kuna Yule jamaa wakatanta , lazima yuko mikononi mwa TAKUKURU. Tokea Sabaya akamatwe sijamwona humu. Ni mkatili haswa. Kabla Sabaya hajakamatwa, alitukana sana humu akijitetea. Sasa naona kimya.
@Wakantanta last seen 15th May 2021. Amechimbiwa au kajichimbia😀😀🤣🤣🤣😎😎😋😋. Fyekelea mbali wote Mkuu.
 
Hii kesi inahisia za kisiasa,na kwakuwa bi mkubwa naye hajielewi,kazi kulembua ndo hivyo tena,7buyer atapitia wakati mgumu ,japo atachomoa tu,mtaniambia baadae.sema akubali kudhalilika for a while.
Karembue na wewe.Mataga kunyweni sumu au sageni chupa mezeeni na coke baridi mkaungane na Yule Lucifer wenu.
 
Hii kesi inahisia za kisiasa,na kwakuwa bi mkubwa naye hajielewi,kazi kulembua ndo hivyo tena,7buyer atapitia wakati mgumu ,japo atachomoa tu,mtaniambia baadae.sema akubali kudhalilika for a while.
Kufa hafii ila cha Moto atakiona
Na sisi tunataka achomoe lakin lazima aonje shubiri

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kule ndani kusikie tu mkuu, na ukizingatia jinsi graph yake ilivyoshuka ghafla from March to Now, atapata tabu sana
Huyu Sabaya tutamnyonyoa bila maji

Alipiga watu misumari miguuni, wameingiziwa chupa sehem za siri,amekata watu masikio

Inauma sana bado wafanyabiashara amepora hela zao
Bora wangu he tuu akija mtaani hawez baki salama

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
@Wakantanta last seen 15th May 2021. Amechimbiwa au kajichimbia😀😀🤣🤣🤣😎😎😋😋. Fyekelea mbali wote Mkuu.
Sabaya alipokamatwa, na yeye kashindwa ku “post” tena. Itakuwa ndo yeye au mmojawapo wa wale mabaunsa wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…