SABC washangaa Rais Samia kumteua Tony Blair kuwa mshauri wake


Blair kama wazungu wengi mikono yake imejaa damu ya watu wasiokuwa na hatia.

Ukitaka tafasiri halisi ya gaidi, basi Toney Blair ni miongoni mwa wachache kati ya wengi wanaokidhi vigezo vyote vya kuwa gaidi.

Kwa usuli huo tu, uhalali wa Blair kuwa na uhalali wa kushauri mtu timamu ni wa mashaka sana.
 
Hata nikieleza huwezi elewa
Akili zimewajaa hate na resentment..
Tony Blair ni mshauri wa Rwanda pia
Mbona hao SABC hawahoji?
Ahahahahahaha! Ukishindwa hoja lazima ukasirike! Chukua maji ya Kandoro ya mia mbii ntalipa!
 
Naona mama ameamua kumkumbatia kabisa Beberu aliyekuwa anakejeliwa na Mtangulizi wake!!

Mataga mko wapi!! Yaani Legacy haienziwi hata kidogo!!
Mtangulizi alikopa dola 12b kwa mabeberu,ni kawaida kwa wanawake wa hovyo kukutangaza una kibamia,huwezi Mambo,ilhali mkiwa ndani hupiga kelele za utamu
 
Nawe ni boya tu! Kwani unahitaji mshauri toka ulaya ili upate chanjo? We hukusikia Brazil wakilazimishwa kupokea chanjo. Namna hii tukiwa na watu kama wewe, nchi italawitiwa kwa kisingizio cha misaada.
 
Nawe ni boya tu! Kwani unahitaji mshauri toka ulaya ili upate chanjo? We hukusikia Brazil wakilazimishwa kupokea chanjo. Namna hii tukiwa na watu kama wewe, nchi italawitiwa kwa kisingizio cha misaada.

Hata mlipokuwa na madeni mpaka matakoni vile vile mlisema hamuhitaji ushauri ili mpunguziwe hayo madeni mpaka pale akili kubwa ilipoona umuhimu wa kuwa na watu wa kuwasaidia to make your case!!! Sasa nyie waumini wa NYUNGU mmeanza kusema hamuhitaji ushauri ili kupata chanjo; kumbuka hizi chanjo huwezi kutoka na sandarusi ya hela ukasema unakwenda kununa kwenye makampuni yanayotengeneza na kuzipata kama JIWE alivyokwenda kununua ndege!!

Demand ya chanjo duniani ni kubwa kuliko upatikanaji wake na ndio maana hizi chanjo zinakuwa rationed. Chanjo ni strategic resource kama silaha za kivita; serikali ya Marekani inahusika jinsi ya kuzigawa na hapo ndio umuhimu wa kuwa na mshauri kama Blair unapojitokeza. Kuna mlolongo wa nchi unazihitaji hizi chanjo, je nchi yetu iliyoanza kwa kukataa kuwepo corona itaruka vipi mlolongo wa nchi zilizotangulia kutaka kupata hizo chanjo bila msaada wa ushauri wa wataalam?

Kama ni nchi kulawitiwa nikitumia lugha yako, ilikuwa inalawitiwa hata MAGUFULI wenu alipokuwa hai!!
 
You must be stupid! Kwa hiyo unaamini wazungu wakikupenda wanakupa chanjo?
 
You must be stupid! Kwa hiyo unaamini wazungu wakikupenda wanakupa chanjo?
Suala sio kupendwa wewe msenge, read between the lines uelewe!! You have to lobby to get your way through sometimes!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…