W Watu pori Senior Member Joined Jan 15, 2017 Posts 100 Reaction score 39 Dec 17, 2018 #1 Katika pitapita zangu Leo mashambani nimekutana na mkulima moja akitumia sabuni ya Unga Kama dawa yakuuhuwa wadudu kwenye maindi anasema ni sumu Nzuri ya kuuhuwa wadudu kwa anaye fahamu zaidi je nikweli Katika ili?
Katika pitapita zangu Leo mashambani nimekutana na mkulima moja akitumia sabuni ya Unga Kama dawa yakuuhuwa wadudu kwenye maindi anasema ni sumu Nzuri ya kuuhuwa wadudu kwa anaye fahamu zaidi je nikweli Katika ili?
Kennedy JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 54,894 Reaction score 64,043 Dec 17, 2018 #2 Maeneo Gani Wanakotumia Sabuni Ya Unga Wakati Waziri Wa Kilimo Yupo Mtwara Kwenye Korosho