Chuck j JF-Expert Member Joined Jun 17, 2011 Posts 2,366 Reaction score 828 Aug 1, 2012 #1 nilisikia katika kipindi cha magazeti juzi,,mhs sabodo akinukuliwa kusema wenye shuida ya pesa weaende kwake,,je nikweli na anatoaje ?masharti
nilisikia katika kipindi cha magazeti juzi,,mhs sabodo akinukuliwa kusema wenye shuida ya pesa weaende kwake,,je nikweli na anatoaje ?masharti
Z ZeMarcopolo Platinum Member Joined May 11, 2008 Posts 14,040 Reaction score 7,303 Aug 1, 2012 #2 Hiyo habari utakuwa hujaisikia vizuri. Watu wanapiga mahesabu ya jinsi ya kuwa na close grip to power, hakuna msaada hapo!
Hiyo habari utakuwa hujaisikia vizuri. Watu wanapiga mahesabu ya jinsi ya kuwa na close grip to power, hakuna msaada hapo!
Mzalendo JR JF-Expert Member Joined Jun 6, 2012 Posts 1,193 Reaction score 515 Aug 1, 2012 #3 Huu ni msaada wea kuchimba visima, na ni maalum kwa taasis za kijamii kwani anatoa kwa wananchi kupiti taasisi hizo na si kaw mtu m1m1 kama ulivonukuu vibaya.
Huu ni msaada wea kuchimba visima, na ni maalum kwa taasis za kijamii kwani anatoa kwa wananchi kupiti taasisi hizo na si kaw mtu m1m1 kama ulivonukuu vibaya.