Sabuni ya maji

Sabuni ya maji

MONTEGO

Member
Joined
Sep 8, 2010
Posts
33
Reaction score
6
Ndugu zangu wajasiriamali na wa JF nipo maeneo ambayo hizi sabuni za maji hakuna sasa na mimi siwezi kuzitengeneza kama kuna mtu mwenye ujuzi huo anisaidie namba zangu ni 0787027214 au tuelekezane hapa kwenye mtandao wetu.
akhsanteni
 
Simple,
Loweka kwenye maji Mbunju au Mshindi itageuka kua Sabuni ya Maji!!
 
Ndugu zangu wajasiriamali na wa JF nipo maeneo ambayo hizi sabuni za maji hakuna sasa na mimi siwezi kuzitengeneza kama kuna mtu mwenye ujuzi huo anisaidie namba zangu ni 0787027214 au tuelekezane hapa kwenye mtandao wetu.
akhsanteni

Mkuu hongera kwa wazo lako. Pitia thread hii UTENGENEZAJI WA SABUNI, ina kila kitu unachotaka, pamoja na contacts
 
Back
Top Bottom