Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,689
Habari zenu wakuu, well nlikua naomba kuuliza ni wapi jijini dar es salaam ntapata watu wanaouza sabuni za jumla za aina mbali mbali both local or imports kwa matumizi ya usafi. Nlikua nataka kununua stock kubwa kwa siku za mbele kwa matumizi binafsi ya nyumbani na kwenye biashara zangu. Mwenye kujua tafadhali ani pm au aweke na contacts hapa na kwa faida ya wengine. Barikiwa !!!