Sabuni za kojic acid zinatafutwa

gasgas

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2015
Posts
1,092
Reaction score
986
Mhusika alitumia kwa ajili ya kuondoa makovu usoni. Ameipenda na angependa kununua zaidi sema amegundua kuwa hapo wanapouza wanalangua bei (wanauza bei kubwa mno) ukilinganisha na bei yale halisi

Kama unafahamu mahali wanapouza na bei yake usisite kutoa taarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…