Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Just like that ?Kwa mahitaji ya sabuni za savonor za vipande tuwasiliane
Mkuu nshaweka sifa zake hapo juuJust like that ?
Vipi wale wasiojua hizi sabani ila wakijua labda uzuri wake, bei yake na faida zake tofauti na nyingine wangeweza kuhitaji ? Au sabuni hizi ni kwa ajili ya current users na sio potential users ?
Picha hazipigiki au ni colorless / Transparent ?Mkuu nshaweka sifa zake hapo juu
Inafaa sana yaani mwaka mzima kipande kimojaVp kwa wale wazee wa bakari nondo mwamunyeto(chaputa) itawafaa hiyo.
Toa ujinga, hata Picha haja weka. Usha anza kusifia 😂Zina Muonekano Mzuri Mnoo Utapiga Pesa,,Na Hiyo Namba Ni Mtandao Wa Huko Huko Burundi Naona Gharama Zake Ni Nafuu Mnoo
Toa ujinga, hata Picha haja weka. Usha anza kusifia
Mkuu picha ntawekaPicha hazipigiki au ni colorless / Transparent ?
Zinapatikana wapi na bei zake zikojeKwa mahitaji ya sabuni za savonor za vipande(kutoka burundi)
SIFA ZA SABUNI
1.ZINA POVU LA KUTOSHA
2.ZINAFAA KWA MAJI AINA ZOTE
3.ZINAFAA KWA KUFULIA
4.ZINAFAA KWA KUOGEA
Kwa muhitaji karibu tufanye biashara
tayari hapo kataa ndoa tushapata mke hapo matumizi yake ni jero mwaka mzima.Inafaa sana yaani mwaka mzima kipande kimoja
[emoji23][emoji23][emoji23]tayari hapo kataa ndoa tushapata mke hapo matumizi yake ni jero mwaka mzima.
Zinapatikana rusahunga wilaya ya biharamuloZinapatikana wapi na bei zake zikoje
Tusubiri Temeke kukae sawaKwa mahitaji ya sabuni za savonor za vipande(kutoka burundi)
SIFA ZA SABUNI
1.ZINA POVU LA KUTOSHA
2.ZINAFAA KWA MAJI AINA ZOTE
3.ZINAFAA KWA KUFULIA
4.ZINAFAA KWA KUOGEA
Kwa muhitaji karibu tufanye biashara
Zinafaa tena kama ukanunua box moja mpaka samia atoke madarakani 2030Kwa vijana wa CHAPUTA vipi zinafaa kutumika kama mbadala wa hawa waomba nauli?
HahahPicha hazipigiki au ni colorless / Transparent ?
weka picha, maelezo mengi bila ushahidi ni kazi ngumuZinafaa tena kama ukanunua box moja mpaka samia atoke madarakani 2030
Ntaweka picha tajiri yanguweka picha, maelezo mengi bila ushahidi ni kazi ngumu