Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 882
- 3,337
Kamanda wa kikosi cha usalama barabrani SACP Ramadhan Ng'azi, amesema wanaanzisha msako kwa ajili ya watu wote wanaotumia kibao cha namba za usajili zenye rangi nyeusi(PLATE NUMBER), kwani rangi hiyo ni mahsusi kwa watu wa majeshi na sio watu binafsi.
Ameyasema hayo leo akiongea na wanahabari kuelekea maadhimisho ya wiki ya usalama barabarani yanayotarajiwa kufanjika jijini Dodoma na kufunguliwa na Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. philip Isdor Mpango.
Ameyasema hayo leo akiongea na wanahabari kuelekea maadhimisho ya wiki ya usalama barabarani yanayotarajiwa kufanjika jijini Dodoma na kufunguliwa na Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. philip Isdor Mpango.