sad:: mwendesha baiskeli akutana na simba selous

mmh nitarudi ....hebu ngoja nichepuke kidogo
 
Mmhhh, yaaani hapo sijui jamaa alipata muda wa kusali sala yake ya mwisho??? usikie tu haya mambo au uyaote tu ndo raha yake lakin...
 
Huyo simba vipi hapo naye aliuwawa na askari wa wanyamapori? kamirisha hii habari Tafadhali.
 
Huyo simba vipi hapo naye aliuwawa na askari wa wanyamapori? kamirisha hii habari Tafadhali.

alikimbia na mkono mmoja tu...na jirani yake kulikuwa na kundi la simba kama 6 wanakuja
 
Truly sad. Sasa huyo simba wata muua au watamwacha asepe? wasipomuua ina maana atamla huyo msela mpaka ammalize. Simba kwao kuua ni kama kwenda bucha kununua nyama. Kwa hivyo wakimuua, ni kama wamemuonea pia.
 
alikimbia na mkono mmoja tu...na jirani yake kulikuwa na kundi la simba kama 6 wanakuja

Mkuu hapa hichi kipengere hakiihitaji majibu mepesi kwa maswali mazito, cameran alikuwa wapi?na alivyowaona hao simba sita wanakuja yeye alikuwa kwenye mazingira gani? sio nia yangu kubishana, ila ungeileta hii story katika mtiririko mzuri ili tujuwe wats happen? na ujuwe serou game reserve ni kubwa kuliko nchi ya Djibout. ni vizuri kama tutaijuwa hiyo sehemu ni, Barani, kingupira, luhanjando, migingo, luwele au wapi? Asante.
 
Inasikitisha ila vifo vingine kama vya kizembe vile?huyu msela kwa nini hakuwa hata na mkuki?alijiamini vipi?anyway r.i.p
 
nafikiri ilikua ni luhanjado au
migingo..alikuwa ndani ya gari...but for now mtu ashakfa na ni kwawida yao kupita pale so tha was accedentally we can say
 
Inasikitisha ila vifo vingine kama vya kizembe vile?huyu msela kwa nini hakuwa hata na mkuki?alijiamini vipi?anyway r.i.p

huyu sio mwindaji alikuwa anaenda kutafuta riziki yake ya kila siku
 
Samahani mkuu mbona ukijaribu kuizoom hiyo picha jamaa anaonekana ana mikono yake yote miwili?
 
Real sad, halafu inaonekana huyu simba amekonda seems kuna shida ya chakula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…