Huyo hana siku nyingi ataangukia mikononi mwa madawa ya kulevya na huo uhardcore anaouendekeza............halafu mbona mtoto wa kike na wa kiume kama hawafananii fulani........sio kwamba jamaa baada ya kupelekwa lupango akajirusha na side dude mwingine ndipo akapata hako katoto kadogo kapili........mmmmmmmmhmn kuna maswali mengi yamezunguka maisha ya huyu dada........anyways arudi tu bongo hajachelewa sana kufanya life nzuri.......hizo ni nchi za watu cheki sasa anavyotaabika na watoto.....angekuwa bongo hapa hata akiwa hana pesa matembele fungu mia mbili.....unga dona kisado 3000 so haweza kulala njaa..........kuhusu pa kulala geto mimi ninalo anione wife ntampa kibuti kwaajiri yake.....